Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Kuna mbegu za matango ambazo huwa tunaleta Na kuuza ambazo pia ndio Mimi nazitumia katika shamba langu ambazo zinakupa matango zaidi ya 20 kwa mche kwa msimu mzima Wa mwezi Na nusu

Mbegu hizi nimeleta paketi chache. Kwa anayehitaji anipigie 0758 308 193 bei ni sh 115,000

Uzuri Wa kulima matango ni kuwa kwa kuwa msimu wake ni Wa mudafupi inakupa nafasi ya kupata kipato cha haraka wakati ukisubiria nyanya kuwa tayari kuvuna kwani nyanya kutumia muda mrefu kuwa tayari kuuzwa
 

Wewe nimekusoma sana leooo. Kama nimeanza kukuelewa hivi. yaani nimeanza kukuelewa. Nakuja inbox, maana tayari ninafanya kilimo-biashara.
 

Mkuu kazi nzuri, upo mkoa gani?
 
Kila mwezi may huwa ni mwezi naotumia kuwakumbusha watu kuhusu tabia yetu ya kuogopa kujaribu mambo Na kuchukua hatua

Kuna watu walishawah niandikia miaka miwili nyuma mwezi km Wa Leo wakitaka kuanzisha miradi ya kilimo kwa ajili ya kujipatia kipato. Lkn tokea kipindi hicho hawakuanza huku kila kitu wanacho sababu wanayotoa ni kuwa eti kilimo hakilipi. Lkn kiukweli ni yoga wao walionao kila siku ndio uliosababisha waianze. Sasa Leo Jamaa kati ya hao Leo kanipihia ndio huko tayar Leo kuanzia Na kulipia mafunzo. Nikamuuliza sasa ni kwani ni ulikuwa unajichelewesha akasema ni upga wake tu umemrudisha nyuma.

Point yangu ya kuandika haya Leo ni kuwa tunaacha sana uoga Na hofu zituzuie kutimiza ndoto zetu kisha kujiluta tumepotexa muda sana. Je km huyu kijana miaka hiyo 2 iliyopita angeanza Na hata nusu ema tu Leo angrkuwa wapi hebu jiulize na usipoteze muda
 
I'm on the way Biashara2000 ,nilikupigia simu ukanipa machache kwa maneno ila mengi kwa ujumbe,ijapo wiki lijalo narudi tena kukucall ili unipe kile kitabu kisha tour hatimaye nikijiridhisha kuiva ndani ya mwezi huu basi JULY nalipuka rasmi,kikubwa nilichojifunza ni kuwa kilimo bila elimu hakilipi,ni sawa tu na mtu asiye na taaluma ya udaktari atawezekana vipi akafanya upasuaji? hilo haliwezekani kabisa maana kinachofuata tunakijua,hivyo tujikite kusomea taaluma za kisasa za kilimo cha biashara ambacho kwa imani yangu hata kama bado sijaanza kukifanya naamini kinalipa.
 
Mwakan nampango wa kujenga greenhouse shy so tutachekiana humuhmu jukwaan
 
Aisee saf sana
 
Kuna watu wanauliza watatutibuje mdudu Wa kantangaze. Mdudu yeyote asiyetakiwa mahala popote pale huwa akija anafuata uchafu Wa aina Fulani. Hivyo kabla hujaanza pulizia dawa za wadudu kwanza safisha eneo lako has a majani majani yasiyotakiwa kuwapo yalime yasiwapo.

Hakikisha unafuata utaratibu nzuri Wa upuliziaji dawa Na hii itasaidia sana kumfukuza

Ugonjwa unaoletwa Na mdudu huyu haina dawa lkn unaweza pulizia dawa kupunguza madhara take. Ni kmUkimwi haina dawa lkn ikirumia ARV unaweza punguza madhara take Na kuishi

Pulizia mchanganyiko Wa dawa inaitwa Blast + Ebony inasaidiaviwango tofauti kutoka na ma eneo Na eneo

Ukikosa dawa hizo gunia inayoitwa Spinosad

Wadudu hawa muda Wa mchana hujificha ktk majani Na kutoka usiku Na kula mimea Na matumda hivyo ndio sababu nikasema hakikisha shamba lako zima haina majani ya aina yoyote ile zaidi ya niche yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…