Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
-
- #321
Kuna watu wanauliza maswali na nimeamua Ku share huku labda yatawasaidia na wengine. Swali linaloulizwa ni kuwa km nalima nyanya ambazo zinachukua kuanzia miezi 2.5 - 4 mpaka kuvuna na kuanzia kupata pesa, sasa ktk kipindi nasubiria kuvuna, je napataje pesa za kujimu?
Hili swali nahisi ndio linalotisha watu kuingia ktk kilimo kwa kuwa unachelewa kuanzia kupata pesa.
Jibu langu ni kuwa wakati unasubiria uanze kuvuna nyanya, unaweza Lima mazao ya muda mfupi lkn yenye uzao mkubwa na yanayovumilia mgonjwa. Mi napendelea matango lkn nimegundua Spinach INA soko zuri muda wote. Spinach huchukua wiki 2 - 3 kuvuna na kuanzia kuuza
Mfano: Unapanda spinach ktk mistari. Tenganisha mistari yako futi 2 kutoka mistari na mstari kila mstari una futi 10. Kulingana na ni mistari mingapi unaweka lkn kila mstari utakupa kilo 3.5 ambazo ni takriban mafungu 10 kulingana na sina ya mbegu. Sasa piga hesabu eneo lako lina ukubwa gani na utaweza mistari mingapi. Mfano km una eneo la sqm 21 utakuwa na mistari 14 hivyo x mafungu 10.
Mafungu 140 x Sh. 300 = 42000 kwa ka eneo kadogo hivyo baada ya wiki 3 tu. Hilo eneo ni 3 kwa 7
Hivyo km eneo lako ni kubwa basi utapata zaidi wakati ukisubiria mavuno ya nyanya hivyo kupata fedha wakati ukisubiria nyanya kuvunaa
Wewe nimekusoma sana leooo. Kama nimeanza kukuelewa hivi. yaani nimeanza kukuelewa. Nakuja inbox, maana tayari ninafanya kilimo-biashara.
Habari za asubuhi.
Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya kitaalamu ya kutumia gharama kidogo ila mavuno mengi na makubwa wanaweza ku click hiyo video hapo chini na kuangalia.
0758 308193
Mkuu kazi nzuri, upo mkoa gani?
Mkuu [HASHTAG]#Biashara[/HASHTAG] 2000, unataka kuniambia kuna mbegu za nyanya zinaweza kusitawi hata kwa hali ya hewa ya baridi kama ilivyo kwa sehemu kama Makete mjini?Hakikisha tu hutumii maji ya chumvi
Mwakan nampango wa kujenga greenhouse shy so tutachekiana humuhmu jukwaanBw. Ngamba umeuliza swali zuri sana, ni swali ambalo watu wengi wamekuwa wanapenda sana kufahamu. Kwa bahati ambayo sio poa wakulima wengi na wale ambao wana mpango wa kulima imekuwa vigumu kwao kupata info sahihi ntalijibu katika vipengele viwili
Mbegu hizi special kama Heirsloom, Corazon, Anna F1, Julia, Carson, Memoneta na n.k zina shelf life kubwa tu na zimeboreshwa kutoka katika nchi za ulaya zenye baridi na zilikuwa maalumu kwa ajili ya kupandea kwenye greenhouse. Sasa waafrika tunafoji na kuamua kuzitumia huku afrika ndio maana wakulima wengi wanalalamika zinawatesa zinashindwa kuvumilia hali ya joto ndio maana zinalimwa Arusha na Nairobi angalau penye kaubaridi
The kick ni kuwa hazikubali nje ya greenhouse yaani kulima kilimo cha wazi. Hii inanyima fursa kwa watu wasio na uwezo wa kifedha wa kujenga gh kushindwa kufanya kilimo cha kisasa na kufanya wakulima wa kawaida kubaki na zile mbegu za kawaida mfano Tengeru na Tanya
Mbegu ambayo mi nawashauri watu waitumia ndio ambayo mie naitumia. Hii imeboreshwa kutoka nchi ya ulaya ambayo iko karibu na bahari ya med. ambalo ni eneo lenye kiwango angalau cha joto. Baada ya hapo ililetwa afrika kusini kuboreshwa Zaidi. Pia ikajaribiwa ktk nchi za afrika ktk gh na kilimo cha wazi. Mbegu hii unaweza ilima ndani ya gh na kilimo cha wazi km ilivyo kwenye hiyo video yangu hapo juu na inavumilia ukame na jotohivyo ni nzuri kwa mikoa yote ya tz
Mkuu Kujenga Green house Shinyanga?Mwakan nampango wa kujenga greenhouse shy so tutachekiana humuhmu jukwaan
navuna maji ya mvua na kisma piaMkuu Kujenga Green house Shinyanga?
Una Maji?
OK,utakjwa na Kisima!
Mimi nipo moro, tunaweza kuonana?Mi nipo Moro lkn tuna shamba darasa Dar kwa wale walioko huko
Mdudu aina ya Kantangaze anadhibitiwaje kwa kilimo hiki cha nyanya ?
Mimi nipo moro, tunaweza kuonana?
Aisee saf sanaNgoja nikupe mfano. Tuseme unaishi katika nyumba ambayo kwa upande wa nyuma una eneo ambalo lina ukubwa wa upana hatua tano na urefu vile vile. Hivyo 5 x 5 = 25 square meter. Katika kila square meter 1 unapanda miche 4 hivyo x 25 ni miche 100. Kila mche unakupa kilo 15 yaani sawa na ndoo moja na nusu ya nyanya kwa mwezi. Bei ya shambani ukiamua kufanya mia tano x 15 ni sh. 7,500 kwa kila mche kwa mwezi. 7,500 x miche 100 = sh. 750,000 kwa mwezi. Je kwa miezi nane ya uvunaji itakuaje? 6,000,000. Na hii ni bila greenhouse
Je utaendelea kunyanyaswa na bosi wako ulipoajiriwa na kuendelea kumtajirisha mpaka lini?