Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,561
- 63,048
Kuna pisi kali sana humu, mpaka nimejikuta nimeoa kabisa
Kuna pisi kali mno JF ila selfika mmezidi kutoa sifa za uwongo kwa pisi mbovu😂Achana na ujinga wa kuamini picha za wadada wa hili jukwaa na kuweka hitimisho kuwa ni wazuri .
Sio kwamba kila mdada akiposti picha yake ni m baya .
Kuna pisi kali mno JF ila selfika mmezidi kutoa sifa za uwongo kwa pisi mbovu
watu wazuri bhana we waangalie harakaharaka uone😀Sidhani
Moyo uko ndani ila first reaction unaipata unapomuangalia muonekano.Tusiangalie sura tuangalie moyo jamani
Min,Hi🤚Achana na ujinga wa kuamini picha za wadada wa hili jukwaa na kuweka hitimisho kuwa ni wazuri .
Sio kwamba kila mdada akiposti picha yake ni m baya .
Kuna pisi kali mno JF ila selfika mmezidi kutoa sifa za uwongo kwa pisi mbovu
Tukaji poet mwaya😍Kwahiyo kupost dk mbili tu ushatuanzishia nyuzi🤔
Kabisaa🤸🏽♂️Tukaji poet mwaya😍
Huyu min asituvuruge.Kabisaa🤸🏽♂️
Tena asituchanganye kabisaa! Hebu twende ukanibless😊Huyu min asituvuruge.
Twende🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️Tena asituchanganye kabisaa! Hebu twende ukanibless😊
Njoo nibless mamaaTwende🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
NakutagNjoo nibless mamaa
full stop📌Pia uko kwa mtu mwenyewe, yaani mtu mzuri ni mzuri tu! Full stop 😎