Totoz Kali Za Bongo! Approved By Allien!

Totoz Kali Za Bongo! Approved By Allien!

68096_153474641367039_100001135113771_267404_7648856_n.jpg
mtoto kavaa kapeti. LOL
 
Wewe usije fanya mama Yoyoo akaniacha. Hapa ni appreciation na kusafisha macho tu! Basi. Like looking into flowers!

Naamini mama Yoyoo hana tatizo, anajua hii ni sehemu yako ya burudani. Wakati wengine wapo club wanacheck mechi wewe wafurahia kutazama warembo.
 
Hivi kati ya hao uliowaweka hakuna ambaoni member humu mkuu Allien?Lazima kuna ambao ni member humu,what do you think mwaJ?

BTW mkuu Allien naona umebadili avatar,nilikuwa nimekuozea na ile ya kiallien haswa!
 
Last edited by a moderator:
Hivi kati ya hao uliowaweka hakuna ambaoni member humu mkuu Allien?Lazima kuna ambao ni member humu,what do you think mwaJ?

BTW mkuu Allien naona umebadili avatar,nilikuwa nimekuozea na ile ya kiallien haswa!

Mkuu nina uhakika wapo members. Toka mabandiko yanaanza viewers wamekuwa almost 100 plus or minus na wengi. Assesment inaonyesha habari zimevuma kasi na watu kuambiana. Pia anaglia likes za picha zinatovyotofautiana, hilo nalo litakupa some ideas.

Ila ukweli Members wanapenda kuangalia Totoz na ndo maaana thread za namna hii somehow wanakuwa wengi. So, let us give people what they want kama unavyoona comments zao.

Huyo mwaJ ndo inaelekea Mdada pekee anayepost, wengine wanachungulia na kuondoka kisha wanarudi. Sasa sijui na wao wana appreciate au ni vipi, sijui.

Ile Avatar nilipata maombi lukuki kuwa niibadilishe, nami sikuwa na hiana nikaweka hii ya Muungwana ambayo inajieleza!
 
Last edited by a moderator:
Mwenye kupenda chongo huita kengeza...sijaona uzuri wao
 
Hapo kwenye red inategemeana na mvuto wenyewe ati.

Kimsingi hakuna mwanamke ambaye hana mvuto; sema tuu mvuto unatofautiana from one person to another.

Kuna ambaye atavutiwa na gOOgle ya nyuma, mwingine atavutiwa zaidi na gOOgle ya kifuani.

Mwingine hata ikiwa yahoo au ning ni sawa tuu; what matters ni search results.

Kuna wengine mpaka kuwe na some add-ons kama Firefox vile.

Cheki mfano mkuu Allien naona karibu picha zote zina Add-ons maeneo ya kichwani.

Halafu kama vile Add-ons za miguuni hazimati sana kwake maana kuna picha nyingi hazionyeshi miguu?

Mkuu Allien respect!

Nimefurahia jinsi ulivyofanya ubunifu wa kutumia terminologies km yahoo, google add-ons n.k, ukazilerate na parts of hao warembo.
I liked it
 
Allien nimeshiba kwa macho,wakati mwengine tunawalaumu waume na wapenzi wetu bure kama mambo ndo haya.

Nausifu uumbaji wa MUNGU.
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye red inategemeana na mvuto wenyewe ati.

Kimsingi hakuna mwanamke ambaye hana mvuto; sema tuu mvuto unatofautiana from one person to another.

Kuna ambaye atavutiwa na gOOgle ya nyuma, mwingine atavutiwa zaidi na gOOgle ya kifuani.

Mwingine hata ikiwa yahoo au ning ni sawa tuu; what matters ni search results.

Kuna wengine mpaka kuwe na some add-ons kama Firefox vile.

Cheki mfano mkuu Allien naona karibu picha zote zina Add-ons maeneo ya kichwani.

Halafu kama vile Add-ons za miguuni hazimati sana kwake maana kuna picha nyingi hazionyeshi miguu?

Mkuu Allien respect!

shikamoo EMT
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Allien kile kidate kitakuwepo kweli ahahahhahahahhahhahah we mbaya sana bana!dah!
bhape bhuraha bhananchi bhaone bhenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Allien kile kidate kitakuwepo kweli ahahahhahahahhahhahah we mbaya sana bana!dah!
bhape bhuraha bhananchi bhaone bhenyewe!

Ulipokataa kunitumia picha kwanza wakati yangu unaiona kwenye Avatyar nikaanza kusita. Mpango mzima napenda onana na totoz ya nguvu yenye curves unajua?

Sasa nilipoona maneno yamekuwa mengi kuliko vitendo, nikavaa zile nguo faster nikaenda Ethiopia kwanza kusafisha macho.

Sasa I am back tunaweza kuongea.

Niambie sasa naona kigugumizi . . . .
 
Ulipokataa kunitumia picha kwanza wakati yangu unaiona kwenye Avatyar nikaanza kusita. Mpango mzima napenda onana na totoz ya nguvu yenye curves unajua?

Sasa nilipoona maneno yamekuwa mengi kuliko vitendo, nikavaa zile nguo faster nikaenda Ethiopia kwanza kusafisha macho.

Sasa I am back tunaweza kuongea.

Niambie sasa naona kigugumizi . . . .

ahahahahhahahhahahhahahhahaahahha pole sana bana!
imouta ya league!
si kila siku nakwambia nimeangukia kinyume nyume af pia nikageukia upande upande pata picha mwenyewe!
ahahhahahahahhahha pana chezeya kabisa teiyst ya Allien utanifanya nitafuta jhni tao hwa oh!
ngoja nipitishe bakuli! SnowBall pach wangu naadhirika huku patia mimi mbesa niende hu jhni tao kupata hii fasi ya kidate na Allien mwaJ patia mimi access ya hilo licurve lako na mimi jamani loh!sio unaishia kugonga like tu mwanzo mwisho ilhali unajua mwendhio naumia huku!loh!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom