GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 1,007
- 712
Hivi Mbanga mlikuwa mnamuita dudu?
mpogole (r.i.p) ndio alikuwa akiitwa dudu.
Hivi Mbanga mlikuwa mnamuita dudu?
Shule la kimaskini mnapoteza muda kulipromoti. Na sisi tuliosoma Shaaban Robert kisha Bonn (Germany) tukiweka picha zetu? Mbaaffffff
haya sasa, mnaenda likizo, vichwa vya juu vikapumzike, vichwa vya chini vikafanye kazi.
kama hujasoma zooo ntashangaa!!
mkangwa (head master) aliipenda sana kauli hiyo
Shule la kimaskini mnapoteza muda kulipromoti. Na sisi tuliosoma Shaaban Robert kisha Bonn (Germany) tukiweka picha zetu? Mbaaffffff
ntawajua woote tena kwa majina yenu halisi!
nilikuwa room no. 99 mandela, sijui miaka ipi ulipita ila room no. 100 iko opposite na room no.99hahahaha mkuu henge bana.....wengi tumepita pale sana....nilikuwa nalala mandela room 100 na nilikuwa academic prefect..
Shule la kimaskini mnapoteza muda kulipromoti. Na sisi tuliosoma Shaaban Robert kisha Bonn (Germany) tukiweka picha zetu? Mbaaffffff
hahahaha mkuu henge bana.....wengi tumepita pale sana....nilikuwa nalala mandela room 100 na nilikuwa academic prefect..
nilikuwa room no. 99 mandela, sijui miaka ipi ulipita ila room no. 100 iko opposite na room no.99
Shule la kimaskini mnapoteza muda kulipromoti. Na sisi tuliosoma Shaaban Robert kisha Bonn (Germany) tukiweka picha zetu? Mbaaffffff
Tosamanganga katika walimu wakuu majembe haijawahi kutokea mwalimu kama huyo, nakumbuka wakati mimi namalizia A level yangu mwaka 1996 ndiyo alikwa amehamishiwa hapo, tena alikuwa na mke wake ambaye walipendana sana kama mapacha kabla ya Mungu kumchukua mkewe (Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi).mkuu nimekuaminia, ila nasikitika kama mandela halituiki, ndo lilikua bweni langu, umenikumbusha mbali mno,
enzi za mwalimu mkangwa, duuu kweli life goes on