Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,111
katika pitapita yangu sehemu mbalimbali mtandaoni nimekutana na PIcha za Shule yangu niliyosoma miaka hiyo.
hapo juu ni quarter mile
hapa ni DH, ila hii inaonekana ni miaka ya karibuni
hapaa ni Sinagogi
Hapo ni juu ni parade na kwa nyuma ni madarasa ya f5
trench za dining
Bweni nililokaa enzi hizo nasikia siku hizi halitumiki!! lina zaidi ya miaka 100, na halina nondo!! kwa sasa ukitembea huko juu lina-swing
hapa bila shaka kulikuwa na event ama mitihani inaendelea dinning Hall
mlango wa ofisi ya Head prefect... hivi Zitto alipokuwa Tosamaganga alikuwa kiongozi wa nini?
hapo enzi hizo upite kwa umakini waweza pigwa "splash"
posta
hapa enzi hizo simu za mkononi zimeingia ilikuwa ni sehemu pekee iliyokuwa inakamata network!
hapo juu ni quarter mile
hapa ni DH, ila hii inaonekana ni miaka ya karibuni
hapaa ni Sinagogi
Hapo ni juu ni parade na kwa nyuma ni madarasa ya f5
trench za dining
Bweni nililokaa enzi hizo nasikia siku hizi halitumiki!! lina zaidi ya miaka 100, na halina nondo!! kwa sasa ukitembea huko juu lina-swing
hapa bila shaka kulikuwa na event ama mitihani inaendelea dinning Hall
mlango wa ofisi ya Head prefect... hivi Zitto alipokuwa Tosamaganga alikuwa kiongozi wa nini?
hapo enzi hizo upite kwa umakini waweza pigwa "splash"
posta
hapa enzi hizo simu za mkononi zimeingia ilikuwa ni sehemu pekee iliyokuwa inakamata network!