Topic za Kurasa za anti Lulu

Topic za Kurasa za anti Lulu

NGULI

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2008
Posts
4,801
Reaction score
647
Ushawahi kusoma ule ukurasa wa mapenzi kwenye magazeti ya udaku zinakuaga na title kama "MUULIZE ANTI LULU" watu wanavyouliza maswali ya kimbuzi kama
-Anti, mimi ni kijana mtanashati,kuna binti nampenda sana ila ni mke wa mtu nifanyeje??
-Anti,tangu nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na demu wangu ananilazimisha tufanye nimkubalie??
-Anti kila nikiamka asubuhi nakuta sehem zangu za siri zimesimama je huu utakua ni ugonjwa?unaitwaje?na tiba yake ipoje??
-Anti,kuna kaka nampenda sana ila yeye ni mkubwa sana kwangu na mimi bado nasome je naweza kuanza nae mahusiano ya kimapenzi
-Anti kuna binti nimeachana nawe mwezi wa sita sasa ila bado nampenda na yeye ana mchumba wake sasa je naweza kumuomba arudiane na mimi?maana siwezi kuishi bila yeye
-Anti kuna nywele zinakua sehemu za siri nizifanyeje?naweza kuzinyoa au hata saloon wanayoa??
 
Anti kunadada mrefu nampenda sana ila tatizo ananikataa eti mimi mfupi kuna dawa ya kunifanya nirefuke?
 
ahahahahaaaaaaaaaaa...................smile!
 
Tehe! tehe! tehe! !!!!!!!!!!!!!!!!!

mkuu umenichekesha sana huwa siyasomi hayo magazeti

kumbe yanamambo makubwa hivyo
 
Halafu na huyo aunt Lulu anajibu upuuzi huu...shit!!
 
Tatizo siku hizi vijana wanapenda sana ngono ndo maana wanauliza maswali kama hayo, akili zao bado hazijakua
 
Tatizo siku hizi vijana wanapenda sana ngono ndo maana wanauliza maswali kama hayo, akili zao bado hazijakua

kuna mwandishi aliwahi andika hivi "dhambi itakayosumbua watu katika siku za mwisho ni dhambi ya uasherati", nadhani huu ndio wakati wenyewe.
 
Hahahaha. . . ngoja na mie nitafute gazeti niwe Aunt Lizzy. .
 
Ushawahi kusoma ule ukurasa wa mapenzi kwenye magazeti ya udaku zinakuaga na title kama "MUULIZE ANTI LULU" watu wanavyouliza maswali ya kimbuzi kama
-Anti, mimi ni kijana mtanashati,kuna binti nampenda sana ila ni mke wa mtu nifanyeje??
-Anti,tangu nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na demu wangu ananilazimisha tufanye nimkubalie??
-Anti kila nikiamka asubuhi nakuta sehem zangu za siri zimesimama je huu utakua ni ugonjwa?unaitwaje?na tiba yake ipoje??
-Anti,kuna kaka nampenda sana ila yeye ni mkubwa sana kwangu na mimi bado nasome je naweza kuanza nae mahusiano ya kimapenzi
-Anti kuna binti nimeachana nawe mwezi wa sita sasa ila bado nampenda na yeye ana mchumba wake sasa je naweza kumuomba arudiane na mimi?maana siwezi kuishi bila yeye
-Anti kuna nywele zinakua sehemu za siri nizifanyeje?naweza kuzinyoa au hata saloon wanayoa??

hili la mwisho ati kajibu nini?
 
Anti kuna demu anajigonga gonga kwangu kwasababu ya kazi yangu, je anti nimkubaliea au nifanyaje?
 
Back
Top Bottom