Wakiume si nakupa kampani mamie kwani utaki kampani?Wakike au kiume wewe mkuu?
Wakiume si nakupa kampani mamie kwani utaki kampani?Wakike au kiume wewe mkuu?
Nmeifumania tu mahali hyo pichaHii app inaitwaje?
Je unajua app yoyote nzuri ya movie?Nmeifumania tu mahali hyo picha
NetflixJe unajua app yoyote nzuri ya movie?
Hiyo ya kulipia me sitaki yakulipiaNetflix
TelegramHiyo ya kulipia me sitaki yakulipia
Asante mkuu vip upande wa mb?Telegram
Pirate Bay
Hzo mbili ndo natumiaga kudownload
1. Fifty Shades (Grey,Darkness, Freed)Naombeni majina ya muvi yenya maudhui kama ya Kiss and Kill na 365 days..
1. Irreplaceable you
View attachment 1999498
Abbie(gugu mbatha) na Sam hawa walikuwa marafiki toka utotoni baadae waka wapenzi. Abbie alijihisi ana ujauzito lakin mwisho waligungua sio ujauzito bali alikuwa na kansa, sasa Abbie akaanza mchakato wa kumtaftia Sam dem(mwanamke) mwingne wakudate nae pindi yeye atakapo kuwa amefariki.
2.Forevar my girlView attachment 1999499
3. The notebookView attachment 1999503
Allie anapoteza kumbukumbu zake zote Noah anaamua kumsaidia kurecover kumbukumbu zake kwa kumsomea story inayohusu maisha yao ya mapenzi toka siku wanaonana. Mwisho Allie anarudiwa na kumbukumbu zake na anamtambua Noah ni nan (hapo akiwa hospital) mwisho wa siku wanakutwa wakiwa wamefariki wakiwa wamekumbatiana .
4.love, RosieView attachment 1999501
Rosie na Alex walikuwa washikaji(marafiki) sana toka utotoni. Tatzo linaanza pale kila mmoja anapoanza kuwa na feelings kwa mwenzie lakin anazuga(anajidai) kama vile rafiki tu mwisho wa siku kila mtu anajikuta anaingia kwenye mahusiano na mtu ambaye sio sahihi.
5. Fault in our starsView attachment 1999500
Nyongeza:
Me before youView attachment 1999502
sanam teri kasamView attachment 1999601
The Light Between OceansView attachment 1999610
Kama unataka za mb rahisi tumiaAsante mkuu vip upande wa mb?
Mkuu unadownload kwanza hiyo app kwenye play store au inakuaje?Kama unataka za mb rahisi tumia
Netnaija/FZMOVIES mb zake chini ya500 Ila hzo nlizokutajia mwanzo ni pasua kichwa movie Moja inaweza anzia mb700 had 2GB> kabisa..
Mkuu unadownload kwanza hiyo app kwenye play store au inakuaje?
Halaf hiyo inaitwa netninja au ni netnaija?
Hamna hiyo kitu...unaandika netnaija lakin inakuja ile netninja ya blueNetnaija