Hivi kwanini ada yake ni kimbembe?kuwa rubani au engineer wa ndege haihitaji akili nyingi saaana,Ada yake ndo kivumbi
Uliweka akili pembeni?Nimetoka huko nduki nikidhani ATC wameingia TOP TEN kumbe ni dhana mgando tu. ila Dude la EMIRATES ukipanda utatamani usishuke.
dada yangu mpendwa,ukiliangusha lidege la watu? sio ngalawa ile(REPLACEMENT)Hivi kwanini ada yake ni kimbembe?
Hakika umenenaWaarabu wengi wao kwao biashara ya Ndege ni ufahari na menejimenti wamemwachia Mzungu, nyie huku CEO wa kampuni ya Ndege ni kada aliyeshindwa ubunge huko LITUMBADYOSO.