Top 10 Airliners for 2016 - Hongera ATC!

Top 10 Airliners for 2016 - Hongera ATC!

Middle East na Asia wametawala sana

hapo nawakubali Singapore Airlines na washkaji zangu wa Hong Kong Cathay Pacific

nina wasiwasi na ANA kama walistahili kuna siku nilijuta anyway hongera zao
Wazungu hawana longo longo
 
Waarabu wengi wao kwao biashara ya Ndege ni ufahari na menejimenti wamemwachia Mzungu, nyie huku CEO wa kampuni ya Ndege ni kada aliyeshindwa ubunge huko LITUMBADYOSO.
Yaani kama akili yetu ilikuwa pamoja
 
Watu walioshindwa ubunge na wastaafu ndo wajumbe wa bodi ya wakurugenzi. Unategemea nini?
 
Kali sana mkuu, tena sio kishindwa, wanajuana na naniii
Waarabu wengi wao kwao biashara ya Ndege ni ufahari na menejimenti wamemwachia Mzungu, nyie huku CEO wa kampuni ya Ndege ni kada aliyeshindwa ubunge huko LITUMBADYOSO.
 
Waarabu wengi wao kwao biashara ya Ndege ni ufahari na menejimenti wamemwachia Mzungu, nyie huku CEO wa kampuni ya Ndege ni kada aliyeshindwa ubunge huko LITUMBADYOSO.
You made my Sunday mkuu
 
Menejimenti ya Shirika la Ndege haihitaji ukanjanja, Bali 1.ubunifu 2. Uzoefu 3. Networks/lobbying.
 
Sio Ethiopian Airlines tu hata KLM, KQ pia wanatumia majina hayo kwenye ndege zao. Infact, sis ndo tulipaswa kuwalipa! By the way, Tanzania Tourist Board (TTB) ina mkataba na Ethiopian Airlines kutangaza vivutio vya utalii nchini (i stand to be corrected).
 
African Magic Pride Airlines (to be launched in 2075)
 
ATC wakijipanga soko la BURUNDI, COMORO, UGANDA, ZAMBIa hata ZIMBABWE ni lao. Watafute CEO makini (preferably mwenye international exposure/experience, not necessarily MZUNGu lakini asiwe MKENYA narudia tena asiwe MKENYa...tunakumbuka ya Precision Air na yule jamaa aliondoka akaacha maden ya kutosha
 
Eti nasikia zile ndege siyo za ATC, ni za Government flight Agency?
 
Back
Top Bottom