Tongoza kistaarabu

Tongoza kistaarabu

Mimba 1 baba wanne

Kama mtu ni malaya atabaki kuwa malaya tu hata ukiuliza hilo swali utapandanishwa tu kwani una kipimo cha kupima kuwa huyu anaongea ukweli au uongo?
 
Such a very long and boring song...who wants to sing?

Kama huo ndio ustaraabu basi deals nyingi hapa mjini zitakwama bse tutabaki tunatongozana siku nzima.
 
Sidhani kama ningesubiri umalize best,ndefu mno!!!
Ungefika hapo penye blue tu mie ningeanza safari maana kama huwezi kusema unaweza anza kulia nami uchuro sitaki!!!!

^^
Best, Do you love silent men?
^^
 
King'astiHahaha. Kutongoza is an art. Na katika art kuna levels mbalimbali, kuna street art na hadi professional na celebrity art. Muhimu angalia level yako, usije kuparamia mwamba ukaanza kutoa povu

True, kuna wanaume wanaitwa pick up artist, its a skill every young man needs
 
Afuu huu utongozaji kama wa ex wangu!!! Mhh napita mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom