Afuu huu utongozaji kama wa ex wangu!!! Mhh napita mie
kweli umeukumbuka
Hahaha. Kutongoza is an art. Na katika art kuna levels mbalimbali, kuna street art na hadi professional na celebrity art. Muhimu angalia level yako, usije kuparamia mwamba ukaanza kutoa povu
Hii nimeipenda sana mkuu na ndivo inavotakiwa!!!!Mimi huwa namshangaa mtu anayetaka kutongoza anaanza kwa kuuliza kama una boyfriend.....inakuhusu nini? We mwaga sera binti ndo anajua.....jibu utalipata ktk kukataliwa au kukubaliwa...
frankly nina muda mrefu kweli sijatongoza...im beggining to lose confidence kwenye mitongozo, sometimes i do ask myself what if im in a situation where i find myself with a girl...what will i say that will ring a bell in her?Baada ya kusema maneno haya me ache afanye maamuzi meenyewe. Usitake kulazimisha bwana.
I"'m sorry cath..do u have a boyfriend?
Cath..yea i do
Mmmh..really?
Cath...yes of course
OK don't bother..i love u too but because u have a boyfriend, i think I'm late but i cant force u. I would like to have a chance to u. My instinct always assures my love to u. If u don't have a boyfriend I'm here for u and also if ur not satisfied with the way ur boyfriend treats u, please give a chance. I'm sure that my emotions feelings to not deceive me. I can really handle ur love. May u please consider my request. Thanks for ur time."
Yaani utatongoza mpaka ulimi uote sugu,hupati ng'o!!!
Kila mtu ana style tofauti ya kutongoza, nna siyo lazima uanze mashairi ili mtu ajue unamseduce, wengine hata kuongea hatuongei. Hivi ni lazima kuimbisha kwani???
mi nishangaa hayo mapenzi yenu mpaka mwanaume anshawish wanamke amini nawaambieni mapenz ya kwel na ya dhati huja tu c mpaka umwongopee yoote hayo haijawahi tokea tu unajikuta kwenye mpnz na msichana tu