rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Hapa namwona kama Membe anamshangaa sana halafu naona anajiuliza hivi huyu mtu amesoma wapi??huyo mzee mwingine simfahamu
Rais Wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania mwenye sifa na uzoefu wa kuongoza kuliko Rais yeyote wa kabla yake.
Kwa mara ya kwanza katika uongozi wake Tanzania imejipatia tuzo ya kimataifa ya Utumishi wa Umma uliotukuka (Utawala Bora).
Pia Kwa mara ya kwanza katika uongozi wake Tanzania imejipatia tuzo ya kimataifa ya TANZANIA YAPATA TUZO YA DUNIA YA AFYA,TEKNOLOJIA NA MAENDELEO.
Hayajawahi kutokea kabla yake, Jee, niendeleze? aah, kwa sasa hivi zinawatosha, anzeni kupayuka.
Na nani anatoa hizo tuzo? Hivi nyumba ikipendeza anasifiwa aliyepaka rangi au aliyejenga?.....(NB kwa amafundi mpaka rangi ndio wa mwisho)
na tuzo ya mauaji ya raia bila hatia hawajampa?rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mwenye sifa na uzoefu wa kuongoza kuliko rais yeyote wa kabla yake.
Kwa mara ya kwanza katika uongozi wake tanzania imejipatia tuzo ya kimataifa ya utumishi wa umma uliotukuka (utawala bora).
Pia kwa mara ya kwanza katika uongozi wake tanzania imejipatia tuzo ya kimataifa ya tanzania yapata tuzo ya dunia ya afya,teknolojia na maendeleo.
Hayajawahi kutokea kabla yake, jee, niendeleze? Aah, kwa sasa hivi zinawatosha, anzeni kupayuka.
Nyingine hii:
Tuzo ya Kimataifa ya Utalii
Tuzo ya Kimataifa kuwa na Hoteli iliyo bora duniani.
Daahhh, zipo nyingi tu wakati wake, wenye chuki mjinyonge!
Rais Wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania mwenye sifa na uzoefu wa kuongoza kuliko Rais yeyote wa kabla yake.
Kwa mara ya kwanza katika uongozi wake Tanzania imejipatia tuzo ya kimataifa ya Utumishi wa Umma uliotukuka (Utawala Bora).
Pia Kwa mara ya kwanza katika uongozi wake Tanzania imejipatia tuzo ya kimataifa ya TANZANIA YAPATA TUZO YA DUNIA YA AFYA,TEKNOLOJIA NA MAENDELEO.
Hayajawahi kutokea kabla yake, Jee, niendeleze? aah, kwa sasa hivi zinawatosha, anzeni kupayuka.
Hapa namwona kama Membe anamshangaa sana halafu naona anajiuliza hivi huyu mtu amesoma wapi??huyo mzee mwingine simfahamu
Hapa
namwona kama Membe anamshangaa sana halafu naona anajiuliza hivi huyu
mtu amesoma wapi??huyo mzee mwingine simfahamu