Landson Tz
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 295
- 221
Ni Leo Asubuhi siku ya Jumatano siku ya tao ya mwisho wa mwaka 2016, yaani zimebakia siku 4 tu kumaliza mwa 2016 na kuanza mwaka mpya wa 2017.
Namuomba Mh. Rais JPM, aangazie macho yake kwa afya za wananchi, huduma za afya nchini hazirizishi hasa kwa maskini. Tumekuwa tukilalamika bila kuja na mbadala wa matatizo, lakini leo nakuja na mbadala. Watanzania wengi wenye ajira wanachangia BIMA ya AFYA kwa ajili ya jamii ya watanzania kwa ujumla. Ila kwakujua au kutojua fedha nyingi za Mfuko zimeelekezwa kwenye hospitali binafsi na mafamasi binafsi huku vituo vya serikali vikilia ukata, hakuna dawa vitendanishi wala vifaa vingine.
Mheshimiwa rais, fanya maamuzi fedha zote za BIMA ya Afya zielekezwe kwenye vituo na hospitali za umma utakuwa umesaidia wananchi na huduma zitakuwa bora zaidi kuliko sasa. Hospitali za umma zina wataalam wakutosha, ila huduma zinakwamishwa na kutokuwepo fedha za kutsha, mheshimiwa rais fedha BIMA zipo nyingi muulize Mama Makinda.
Namuomba Mh. Rais JPM, aangazie macho yake kwa afya za wananchi, huduma za afya nchini hazirizishi hasa kwa maskini. Tumekuwa tukilalamika bila kuja na mbadala wa matatizo, lakini leo nakuja na mbadala. Watanzania wengi wenye ajira wanachangia BIMA ya AFYA kwa ajili ya jamii ya watanzania kwa ujumla. Ila kwakujua au kutojua fedha nyingi za Mfuko zimeelekezwa kwenye hospitali binafsi na mafamasi binafsi huku vituo vya serikali vikilia ukata, hakuna dawa vitendanishi wala vifaa vingine.
Mheshimiwa rais, fanya maamuzi fedha zote za BIMA ya Afya zielekezwe kwenye vituo na hospitali za umma utakuwa umesaidia wananchi na huduma zitakuwa bora zaidi kuliko sasa. Hospitali za umma zina wataalam wakutosha, ila huduma zinakwamishwa na kutokuwepo fedha za kutsha, mheshimiwa rais fedha BIMA zipo nyingi muulize Mama Makinda.