Jeremiah
JF-Expert Member
- Feb 17, 2009
- 644
- 129
Haiingii akilini wabunge wote mia mbili na ushee wa ccm na cuf wakawa na mawazo sawa . Huu ni uchakachuaju wa kutosha hauna mfano. hawa hawatungi katiba nafiri wanatengeneza Users Manual ya magamba.Katiba haijawahi kutungwa kwa staili hiyo popote duniani na hii ya kwetu itakuwa ni ya kwanza . Katiba hutungwa watu wote wakiwa mezani na wanaelewana.This is unacceptable constitutional bill.