ishu iko kati ya Tundu, Tobo na Shimo.
1. Shimo ni kama jalala ama Kaburi.
Huchimbwa kwenda chini ardhini.
2. Tundu ili liwe tundu ni lazima uuone upande wa pili.
3. Tobo ni kama vile ukigongelea msumali ukutani kisha ukautoa, basi pale linalobaki ni tobo.
Na endapo utafanikiwa kutoboa mpaka upande wa pili basi litakuwa tundu...