mnkenimtaita78
Member
- Aug 29, 2018
- 73
- 92
Salaam wakuu,
Nimepata shida kwa watoto wangu wawili kubadilishiwa majina.Wa kwanza alifanya mtihani wa darasa la nne mwaka 2020 na mwingine 2022.Nilipata kufahamu tatizo Hilo baada ya matokeo ya darasa la nne.Shule walizosomea majibu yao ni kuwa wao walisajili sawasawa kulingana na vyeti vya kuzaliwa.
Huyu Wa darasa la Saba ameambiwa jina ni hilo hilo atakalo fanyia mtihani wa darasa la Saba mwaka huu.Najiuliza swali mamlaka za elimu zinaweza kumbadilishia jina mwanafunzi?.Tena wananiambia labda nimbadilishie cheti Cha kuzaliwa kiendane na majina hayo mapya. Msaada ndugu zangu niko njia panda juu ya Nini naweza kufanya,
Maana mmoja kapewa jina la mtu mwingine na huyu Wa Darasa la tano sasa hivi ni herufi zimechanganywa hazileti maana kabisa.
Nimepata shida kwa watoto wangu wawili kubadilishiwa majina.Wa kwanza alifanya mtihani wa darasa la nne mwaka 2020 na mwingine 2022.Nilipata kufahamu tatizo Hilo baada ya matokeo ya darasa la nne.Shule walizosomea majibu yao ni kuwa wao walisajili sawasawa kulingana na vyeti vya kuzaliwa.
Huyu Wa darasa la Saba ameambiwa jina ni hilo hilo atakalo fanyia mtihani wa darasa la Saba mwaka huu.Najiuliza swali mamlaka za elimu zinaweza kumbadilishia jina mwanafunzi?.Tena wananiambia labda nimbadilishie cheti Cha kuzaliwa kiendane na majina hayo mapya. Msaada ndugu zangu niko njia panda juu ya Nini naweza kufanya,
Maana mmoja kapewa jina la mtu mwingine na huyu Wa Darasa la tano sasa hivi ni herufi zimechanganywa hazileti maana kabisa.