Tofauti ya Zuhura Yunis na Wakurugenzi wa Mawasiliano ya Rais waliomtangulia

Acha kukomplicate maisha kwenye hyo idara lazma kuna MTU anayejua kimombo, Kazi yake ni kisign na kuipitia.. sasa mkurugenzi mzima kila kitu aandike yeye. Ile ni ofisi.. hata ukataka press iAndikwe kiarabu itaandikwa ova
Hahahaa mlikuwa wapi kuandika siku zote...kaja bi. Zu mwenye kizungu chake mnakuja kujitetea hapa. Wasaidizi mnajua ze ze tu na zis is a dog kizungu anajua Zu baasi.
 
Huyu mama anapiga PRESS release za Kizungu kwa ajili ya International audience. Hiki kinaweza onekana ni kitu kidogo ila ni kikubwa.

Nadra sana kwa Wasemaji wa taasisi ya Urais walopita kuchapa PRESS RELEASE ya umombo kama hivi.

HONGERA SANA DADA ZU. Wamama mnaweza sana.
View attachment 2116525View attachment 2116526
Unawaza kitumwa! Au nikuambie kwa lugha yako ya kitumwa! Slavery Mentality Thinking!
 
Huyu mama anapiga PRESS release za Kizungu kwa ajili ya International audience. Hiki kinaweza onekana ni kitu kidogo ila ni kikubwa.

Nadra sana kwa Wasemaji wa taasisi ya Urais walopita kuchapa PRESS RELEASE ya umombo kama hivi.

HONGERA SANA DADA ZU. Wamama mnaweza sana.
View attachment 2116525View attachment 2116526
Kizungu ndio maendeleo? Hizi ndio fikra mfu. Korea kaskazini wanapiga kikorea tu lakini wazungu wapo busy kutaka kujua kinachoongea
 
Acha kukomplicate maisha kwenye hyo idara lazma kuna MTU anayejua kimombo, Kazi yake ni kisign na kuipitia.. sasa mkurugenzi mzima kila kitu aandike yeye. Ile ni ofisi.. hata ukataka press iAndikwe kiarabu itaandikwa ova
Ukiandikiwa huruhusiwi kuedit kabla ya kusaini??
 
Huyu mama anapiga PRESS release za Kizungu kwa ajili ya International audience. Hiki kinaweza onekana ni kitu kidogo ila ni kikubwa.

Nadra sana kwa Wasemaji wa taasisi ya Urais walopita kuchapa PRESS RELEASE ya umombo kama hivi.

HONGERA SANA DADA ZU. Wamama mnaweza sana.
View attachment 2116525View attachment 2116526

Sie tuna rais wa international audience? Unafikiri intl audience lugha ni kiingereza tu?
 
China hawanaga uduwanzi kama huo na wame endelea hakuna wa kuwafikia. Mambo yao yote yapo kichina, unataka kutuambia nn?

Tu Deal na mambo yetu ya ndani kwa level yetu, watu wa nje hawatuhusu, kiswahili kinatosha sana.
 
Acheni ushamba waTanzania, embu kuweni seriously basi, wakenya wakisoma hizi news wanawacheka sana.
Mfumo wa elimu mweke mbofu tena mnataka kiingereza kama sio ushamba tuite nini.
 
Landa ni mimi peke yangu ninayeona ametumia kingereza chepesi mno.
 
Pale mwanataaluma mwenye fikra pana na upeo mkubwa anapopata nafasi kututumikia watanzania katika nafasi za juu huwa HATUANGUSHI.....

Kongole kwake ndg.Zuhra Yunus

#Siempre JMT
Handsome Boy CBE unaupiga mwingi kusifia
 
Acha kukomplicate maisha kwenye hyo idara lazma kuna MTU anayejua kimombo, Kazi yake ni kisign na kuipitia.. sasa mkurugenzi mzima kila kitu aandike yeye. Ile ni ofisi.. hata ukataka press iAndikwe kiarabu itaandikwa ova
Mbona siku zote walkua hawafanyi kama Sasa. Tukubali Zuhra ameleta mabadiliko na ni muhimu anavyofanya press release pia Kwa lugha ya kingereza Ili dunia ijue misimamo ya Tanzania. Kuna mahali niliona Instagram kwenye page ya ikulu mawasiliano waliandika mpaka kifaransa
 
Kwani Press release huwa anaandikiwa nani? Anaetaka kupotosha ataposha tu bila kujali imendikwa kwa Kingereza ama kwa Kiswahili
Na lugha ni kwa ajili ya mawasiliano na wale wanaotarajiwa kupokea ujumbe. Rais amtumbue DC wa Nanyumbu (mfano, ahahahahah) halafu utoa press release ya Kiingereza?
 
Back
Top Bottom