Tofauti ya Samia na Hadija kopa ni ipi?

Tofauti ya Samia na Hadija kopa ni ipi?

Tofauti zao ni hizi
Watoto:
Hadija kopa ana zuchu na marehemu shoga.
Samia ana andul na yule mbunge mwenye mume wa kupenda familia ya samia.

Sanaa:
Hadija ana imba taarabu.
Samia ana jua kukejeli na vijembe.

Ndoto:
Hadija ni mwanamziki.
Samia alikuwa na ndoto za kumuhudumu wa ndege.(ule unene ndege ingepata hasara).

Kwa sasa:
Hadija anasubiri na yeye kuwa familia ya WCB.
Samia uraisi wa bahati na idd mama wa tanzani.
 
Back
Top Bottom