Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,990
- 6,617
Kwangu limao ganda lake lina harufu nzuri, ndimu ina ladha ya kipekeeKuna tofauti gani ya limao na ndimu?
Kwangu limao ganda lake lina harufu nzuri, ndimu ina ladha ya kipekeeKuna tofauti gani ya limao na ndimu?
Shule au chuo gani ulisomea hiyo botany ili nimpeleke mwanangu awe kipanga kama wewe?Ndio maana nikaanza na dfn ya botany l..
Mkuu kuna mambo huku tunasoma deep hii sio biology..
Hapa nipo kwa plant kingdom usitake nianze kufunguka mambo hapa ukabaki unashangaa..
MFANO unaelewa... chiropractic kwa plant ni kusoma how plant tissue form i means xylem na pholem
Limao ni mono.. unavijua wewe mono ni zile zenye mbegu moja but hapa tuna talk in class embryology term..
Kuhusu acidity na basic ya limao na ndimu bado sija deep zaidi ila soon ntakujibu maana ili ku determine acidic au basic ya kitu ni mpaka tusome soil
Utakuja kufa vibaya,, ukila mihogo ya kidamvuMimi nimeshindwa kutofautisha mtu wa kisamvu na mti wa mhogo.
Mkuu adv nimesoma PCB hapa hapa tanzania shule ya serikali zile za zamani vipaji..Shule au chuo gani ulisomea hiyo botany ili nimpeleke mwanangu awe kipanga kama wewe?
Kwamb limao ni mdogo wake ndimu kwa ufupiLimao ni kubwa ndimu ni ndogo kiumbo.
Limao linazalisha maji mengi, ndimu huwa na maji machache hiyo ni kutokana na utofauti wa udogo na ukubwa!.
Ubarikiwe sana, mkuuMkuu adv nimesoma PCB hapa hapa tanzania shule ya serikali zile za zamani vipaji..
Chuo nikasoma SUA.. Nina degree BVM
Lakini nikasoma zaidi botany as professional
Karibu mkuu
Karbu sNaUbarikiwe sana, mkuu
Hebu kidogo tudokeze sababu za kujiita"poor brain"Karbu sNa
Tuanzie hapaHebu kidogo tudokeze sababu za kujiita"poor brain"
Hiyo ni balaa.Tuanzie hapa
Kuna kitu kinaitwa vibration phantom syndrome.. hi ni hali ya kuhisi kama simu yako ina vibration kumbe hakuna kitu kama hicho..
Huu ugonjwa uweza kuathiri sehemu mbali mbali za ubongo ikiwepo hypothalamus ... Hapa tunasema termination zote za hormone lazima ziwe affected hii upelekea mtu kuwa overthinking... Sasa ikiwa at highest level unapata ugonjwa ambao mpaka sasa wameshindwa kuuweka ni syndrome au manipulate phantoysy ndo wakasema hi ni ""Poor brain ""
Karibu mkuu..Hiyo ni balaa.
Sitoagi like kizembeOky naweza kukujibu ki bailogy zaidi
Kwanza ujue maana ya botanist
Is the person who study plant
Alafu botany.. is the branch of science which deals with the study of plant
Tuje kwenye swali lako..
Tofauti ya limao na ndimu ni hii
Ndimu ni kingdom plantae while limao ni kingdom plantae too
Ndimu ni class dicotyledonous while limao ni monodiecotyledon
Ndimu have chromoplasts with green in nature while limao have chiropractic with green yellow ina nature
Ndimu has acidic in nature while limao has basic in nature....
Kama ujaelewa nambie
Skia Kuna kitu umenishtua hapa kuna kipindi nilikuwa naishi maeneo yenye bafu la nje kuna dada moja akitoka kuoga ukienda kuoga unakuta vpands vidogo ndimu bafuni Au mbegu mbegu zake sikuwahi jua nn kinaendeleaNdimu katik Moja na mbili wadada oye
Daaah aiseee 😂😂😂🙌🙌🙌🙌Sitoagi like kizembe
View attachment 3331963
Hata hapa huoni utofauti?
Mbona yote haya waswahili wanaita ndimu?
😅😅😅Skia Kuna kitu umenishtua hapa kuna kipindi nilikuwa naishi maeneo yenye bafu la nje kuna dada moja akitoka kuoga ukienda kuoga unakuta vpands vidogo ndimu bafuni Au mbegu mbegu zake sikuwahi jua nn kinaendelea
hebu fungua code mpwa.
Watu wazifananisha uenda kwa kuwa matumizi yake hayapishani sanaView attachment 3331963
Hata hapa huoni utofauti?