Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Haya maneno yamekuwa yakitumika vibaya,mtu anasema mwanangu kumbe anamaanisha msichana...mwanagu (my son) ni shuruti awe mvulana, binti yangu (my daughter) nimsichana, na haiwezekani ukajumuisha wote yani watoto wa jinsike na jisime ukawaita wanangu, jamani tusaidieni kunyoosha wenzetu