Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
wewe unaona hilo jina la kiume??
Ni la kike, nimeona tu niulize kwa sababu umezungumzia issue za betting ambazo ni rarely kumkuta ke kwenye hizo issues.
wewe unaona hilo jina la kiume??
Ila ninadhani Chelsea, Man City na Man U watabadili upepo wa UEFA kuanzia msimu ujao.
Maana investment inayofanyika sasa hivi ni ya ukweli.
Kweli kabisa.Na Bayan mwenyewe akiwa kwenye form ya aina yake kakutana na hawa jamaa recently na ikaishia kua aibu kwao.Hyo ni point kubwa sana kwamba hawa magiant wawil wa hispania hata wangepelekwa kokote wangefanya wanachokifanya hispania na tena wangekuja uingereza wangenyanyasa zaid wakat kule hispania kila timu inapambana. Afadhal kidogo hata timu km Bayern munich kwa ujeruman ina uwezo wa kupambana na hawa wakubwa wawil ukilinganisha na timu za uingereza
Msimu ujao hawawez kushirik champions league labda europa watashirikIla ninadhani Chelsea, Man City na Man U watabadili upepo wa UEFA kuanzia msimu ujao.
Maana investment inayofanyika sasa hivi ni ya ukweli.
Tatizo ni kwamba wana invest sana lakini wachezaji kiwango kikipanda wanakimbilia Spain. Na bado ni wachezaji wachache sana unaweza walinganisha na wale wanaocheza Madrid au Baca.. Mwenyewe nikikwambia uwataje utaanza kutafuta kwa tochi. Pia trend ya viwango vya wachezaji epl wengi wao sio vya kudumu. Mchezaji anawika nusu msimu au msimu mmoja tu. Alafu angalia tu hata Mchezaji kama Diego Costa ambae anaonekana ni striker mzuri ana goli ngapi champions League.Ila ninadhani Chelsea, Man City na Man U watabadili upepo wa UEFA kuanzia msimu ujao.
Maana investment inayofanyika sasa hivi ni ya ukweli.
Arsenal tupo mkuu usihofu. Tunajua mnatutegemea na mna matumain makubwa na sisiNgoja tuone muda ndo utatuambia. Natamani hata msimu huu leicester ingechomolewa kwenye UEFA alafu nafasi ikapewa chelsea ili kubeba taifa la uingereza.
Christian Ronald tuzo ya kwanza alipata akiwa man utd........nadhani memory yako Ndogo au hukuwepo we we katika ulimwengu wa sokaMara ya mwisho EPL kutoa mchezaji bora kwa Ulaya pengine hata wa Dunia ni lini?
OK, mkuu vikombe sio kipimo pekee, mwaka Jana wakati was michezo ya ulaya, 80% ya wachezaji was timu shiriki walikuwa wanacheza Soka premier legueWafuata upepo wanasema Hispania kuna timu mbili yaani Real Madrid na Barcelona ila wamesahau kuwa Kuna Atletico Madrid ameingia fainali champions league mara mbili ndani ya misimu mitatu na hawa manyumbu wanasahau kuwa Sevilla kachukua europa mara tatu mfululizo tena hii ya tatu akichukua kwa kuwatwanga hao hao waingereza.
Kwa hiyo mm nikimsikia mtu anasema ligi ya uingereza ni bora kuliko ya hispania huwa sibishan nae zaid ya kucheka.
Mkuu uko sawa kabisa wachezaji wote epl wana ndoto za kwenda kucheza barca au madrid.... kila mchezaji anapambana ainue kiwango chake hawa jamaa wakimwitaj anaondoka zake. HUU NDO UKWEL AMBAO WENGI CJUI WANAOGOPA KUUSEMA AU CJUI HAWAJAUTAMBUATatizo ni kwamba wana invest sana lakini wachezaji kiwango kikipanda wanakimbilia Spain. Na bado ni wachezaji wachache sana unaweza walinganisha na wale wanaocheza Madrid au Baca.. Mwenyewe nikikwambia uwataje utaanza kutafuta kwa tochi. Pia trend ya viwango vya wachezaji epl wengi wao sio vya kudumu. Mchezaji anawika nusu msimu au msimu mmoja tu. Alafu angalia tu hata Mchezaji kama Diego Costa ambae anaonekana ni striker mzuri ana goli ngapi champions League.
Ndio maana ligi sio shindani, toka 2000,wanapishana timu mbili tu, UK....in zaidi ya timu 4 zimefika fainali kipindi hichoIla toka 2012 hakuna timu ya epl inayochukua au kufika finali
Ha ha ha ha, lakini bado naamini UK league ndio bora, achana na ishabiki was timu mbili tuMkuu yaan hii kitu watu wamekariri sana eti ligi ya uingereza ni bora... hoja za kijinga kabisa, sasa ww mwenyewe mkuu jiulize hats ukiwatoa barca na Madrid pale hispania vp leicester city ukiwapeleka pale hispania ubingwa gan cjui wangechukua
unataka kuoaMkuu wewe ni ke au me?
Nikukumbushe tu the best Man you iliyokua Cr7 ilikutana na Baca, nadhani unakumbuka kilichotokea. Sio kufungwa tu bali ilionekana kama miembeni ya Zenji.
Epl ni ligi ambayo iko marketable lakin sio bora na wachezaj weng wanaenda huko kwa sababu wigo umetanuliwa tofaut na nchi zngine kwa hyo watu wameziona fursa........ Mbona Somalia ina km wachezaji wawili nadhan wenye asili ya huko wanaocheza epl wakat tanzania hatuna hata mmoja vp unaweza kusema somalia ipo juu kisoka jst kwa sababu tu ina wachezaj wenye asil yao epl? Mi naona ni kigezo lakin very minor kwa hii contextOK, mkuu vikombe sio kipimo pekee, mwaka Jana wakati was michezo ya ulaya, 80% ya wachezaji was timu shiriki walikuwa wanacheza Soka premier legue
Ni mafanikio lakin ww unataka kusemaje? Kwa hyo Unataka useme man u ni bora kuliko Barca na Madrid kwa kigezo hicho kwa hiyo epl ni bora kuliko la liga?Hiyo hiyo Man U ya Ronaldo iliingia Finals mara 3, kati ya hizo ilichukua mara moja. Je hayo siyo mafanikio?
View attachment 457166
kuna leagues ya biashara na ligu ya mpira kujua hilo no headacheTatizo ni kwamba wana invest sana lakini wachezaji kiwango kikipanda wanakimbilia Spain. Na bado ni wachezaji wachache sana unaweza walinganisha na wale wanaocheza Madrid au Baca.. Mwenyewe nikikwambia uwataje utaanza kutafuta kwa tochi. Pia trend ya viwango vya wachezaji epl wengi wao sio vya kudumu. Mchezaji anawika nusu msimu au msimu mmoja tu. Alafu angalia tu hata Mchezaji kama Diego Costa ambae anaonekana ni striker mzuri ana goli ngapi champions League.
Shida ipo kwa man u
Msimu ujao hawawez kushirik champions league labda europa watashirik
Hapo sijazungumzia kuingia final au kuchukua.. Nimelinganisha performance kati ya timu za laliga na epl na hapo nimezungumzia a specific game. Hiyo kuchukua mara ngapi ndio hata usizungumzie.Hiyo hiyo Man U ya Ronaldo iliingia Finals mara 3, kati ya hizo ilichukua mara moja. Je hayo siyo mafanikio?
View attachment 457166
Atletico na Sevila co bora?Ha ha ha ha, lakini bado naamini UK league ndio bora, achana na ishabiki was timu mbili tu
Ni mafanikio lakin ww unataka kusemaje? Kwa hyo Unataka useme man u ni bora kuliko Barca na Madrid kwa kigezo hicho kwa hiyo epl ni bora kuliko la liga?