Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,666
- 218,169
Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.
Nakala : Kawe Alumni
duh!!View attachment 1406645
Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.
Nakala : Kawe Alumni
lipo la kujifunza hapaduh!!
Naona nondo upo kasi sana na chama chenu cha kiislamu..Vyama vyote hivyo ni hovyo sana na vina vingozi ambao ni hovyo sana. Chama ambacho kipo smart nchini Tanzania ni ACT- WAZALENDO tu.
Bado hatujafikia huko mnakodhamiria kutupeleka
Makamanda wanagombania kupiga picha na kada.View attachment 1406645
Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.
Nakala : Kawe Alumni
Kuongoza chama hamuwezi mtaweza kuongoza nchi?!View attachment 1406645
Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.
Nakala : Kawe Alumni
Tanzania hamna vyama vya siasa ni mwendo wa kubangaiza kama sisi wananchi tu. Na havitapatikana hadi sisi kama jamii tuwe smart. Tatizo siyo CCM,CHADEMA wala ACT bali ni jamii kwa ujumla.Vyama vyote hivyo ni hovyo sana na vina vingozi ambao ni hovyo sana. Chama ambacho kipo smart nchini Tanzania ni ACT- WAZALENDO tu.
maandishi kama haya ni ushahidi wa uvumilivu wetu ili likiripuka tusilaumiweCCM wanapambana kwa kila njia kupata madaraka nyie mna take it easy.
Yule jamaa alieshika tofali naona anatimiza kwa vitendo ile kauli 'kama tunapambana na korona'View attachment 1406645
Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.
Nakala : Kawe Alumni
Acha udini mkuu. Could you please stop that nonsense? .
Hahah daah umetisha sanaYule jamaa alieshika tofali naona anatimiza kwa vitendo ile kauli 'kama tunapambana na korona'
Umefirisika kiakili kiasi kwamba hata wazazi wako wanajilaumu kukuzaa ! nawahurumia sana !Kuongoza chama hamuwezi mtaweza kuongoza nchi?!
Hiyo picha namba moja sojajua nn kilijiri, au labda huyo cdm aliwatukana maana wana hasira kweli.View attachment 1406645
Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.
Nakala : Kawe Alumni
Hahahaaaaa........chama cha kiislamu tena?
Kamanda punguza jazba.Umefirisika kiakili kiasi kwamba hata wazazi wako wanajilaumu kukuzaa ! nawahurumia sana !
Wanaccm walikuwa wanang'oa bendera ya Chadema , huyo kamanda akawadhibiti .Hiyo picha namba moja sojajua nn kilijiri, au labda huyo cdm aliwatukana maana wana hasira kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app