Tofauti kati ya CCM na CHADEMA hii hapa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,666
218,169
Tofauti Yetu na Wao - NoHateNoFear  - No_Retreat_No_Surrender ( 640 X 640 ).jpg


Ndio maana umefika wakati sasa wananchi wakiwemo hata viongozi wastaafu wanaona kuna haja kabisa nchi ikabidhiwe kwa CHADEMA ili kuendeleza Utangamano wa Kitaifa.

Nakala : Kawe Alumni
 
Vyama vyote hivyo ni hovyo sana na vina vingozi ambao ni hovyo sana. Chama ambacho kipo smart nchini Tanzania ni ACT- WAZALENDO tu.
 
Vyama vyote hivyo ni hovyo sana na vina vingozi ambao ni hovyo sana. Chama ambacho kipo smart nchini Tanzania ni ACT- WAZALENDO tu.
Tanzania hamna vyama vya siasa ni mwendo wa kubangaiza kama sisi wananchi tu. Na havitapatikana hadi sisi kama jamii tuwe smart. Tatizo siyo CCM,CHADEMA wala ACT bali ni jamii kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom