mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,296
- 13,740
Cha kikristo hiki
Cha kikristo hiki
Makamanda wanagombania kupiga picha na kada.
Kweli CCM ni chama kikubwa!
Chama pekee nchi hii kilikuwa kina uwezo wakulipuka kilikuwa CUF. Chadema ni wepesi, CCM ni wazee wa vyombo vya dola, ACT ni CUF Zanzibar na wengine ni wapiga kelele. Kisiasa hii Nchi ipo ipo tu.maandishi kama haya ni ushahidi wa uvumilivu wetu ili likiripuka tusilaumiwe