Oooh Gosh!Wakuu!
namshukuru Mungu kwa kuendela kunipa pumzi na uzima wa bure, leo nimegonga miaka 24.
Wakuu!
namshukuru Mungu kwa kuendela kunipa pumzi na uzima wa bure, leo nimegonga miaka 24.
Wakuu!
namshukuru Mungu kwa kuendela kunipa pumzi na uzima wa bure, leo nimegonga miaka 24.
Wakuu!
namshukuru Mungu kwa kuendela kunipa pumzi na uzima wa bure, leo nimegonga miaka 24.
Hongera sana mkuu,
USHAURI WANGU: Kwa kutambua uzito na umuhimu wa siku ya leo katika life yako bora utembelee mayatima/wagonjwa/utoe sadaka(fungu la kumi) au ufanye sala ya maombi kwa ndugu zako walotangulia mbele ya haki.
Samahani kama ushauri wangu hautokuwa na maana kwako.
Amani ya bwana iwe nawe..
Wakuu!
namshukuru Mungu kwa kuendela kunipa pumzi na uzima wa bure, leo nimegonga miaka 24.
Orait....kwa umri huo, u have so many potentials....so play safe kitu cha kwanza...cha pili...kama signature yako inavosema
Leo party wapi sasa tualikane
Happy birthday!
<br />Umeacha kuandika amtafute Mchungaji Masa apate baraka!