To you my future hubby

To you my future hubby

Hapo ni maneno tu ya maandishi kufurahisha jukwaa lakini uhalisi uliomakinika hakuna.
 
dont rush to make decisions while you're excited..ninavyowajua wanawake ni viumbe wa kuchoka haraka sana..ataapa hayo yote ila ndani ya mwezi mmoja umeyasahau yotee
 
Sometimes in our lives we all have pain and sorrow. But if we are wise,we know that there's always tomorrow.Lean on me when you're not strong and I'll be your friend and I'll help you carry on.

You just call on me sister when you need a hand.We all need somebody to lean on.I just might have a problem that you'll understand,we all need somebody to lean on.

Lean on me when you're not strong and I'll be your friend I'll help you carry on!

Rafiki unaimba or?? Sio kwa kizungu hiko heheheee kumbe umo lakini huvumi



Mahondaw wa Smart911
 
Kuna sehemu umesema " you will be with him in both hard and good times"

Mwisho unasema " you wont do all that if he is not tall, handsome and with a small d"

I don't see where do the hard times apply zaidi ya good times only...

Pole sana...



Cc: mahondaw


Tehtehteh qualifications zake hizo my king.. zigo linahuu hahahaah wanawake sie mweh!!



Mahondaw wa Smart911
 
Hawa ndo wanawake nisiotaka niwaona na kuwaskia ktk maisha yangu,.. Wanadumaza akili za vijana kwa kutokua na changamoto mpya, vichwa vyao 100% vimejaa ngono tu...,
 
Back
Top Bottom