binti miss
Member
- Jul 29, 2017
- 91
- 169
- Thread starter
- #181
au ipo nn...., tusaidiane mkuu
I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...
Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....
Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...
Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...
Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...
Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...
At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...
However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
Neveriko cku utasema nilitoa wapi hili jitu
Kuwa uyaone mama aisee kuna vitu vya kukera wewe acha tu.Never
Lazima utakuwa na kibamia wewe au andunjehuyu amejiunga JF tarehe 29 July kwa muonekano wa uandishi wake ni Mhenga wa JF yaani huko kote hajawahi kupata wa kumwambia? halafu alivyojichanganya kasema atampenda hata kama hatakuwa akimfikisha Orgasm halafu mwisho kasema atamfanyia hivyo as long as Ni mrefu halafu hana Kibamia..Changudoa ni Vigumu kuwa Mke aslani... Yaani Ukishakuwa na Elelemnt ya Kikahaba basi hakuna haja ya kufikiria hayo amambo...... Nyie wadada mliozaliwa na Baba zenu wafupi ina maana mnakufuru Mungu na Kumcheka mama yenu kwa kukubali kuwa na huyo Baba Yenu...
Kiufupi Laani ya kuishi kwa Amani inatoka kinywani Mwako na Huitengeneza Mwenyewe.. Wadad wengi hawaolewi wala kupata Wachumba kwa kuwa hujitakia Laana kwa kutumia Matamanio ya Viuongo Vyao ..
wapo wanawake wanaopenda wanaume wafupi kama wewe, mimi walaa sitakaa niolewe na mwanaume mfupi NEVER kama nyie wanaume mnavyosema mwanamke bila chura havutiiKila mtu na priority zake
Mapenzi sio pesa wala six packfuture wife...Mimi sina six pack pia sina hela
tuanze na wewe una kibamia?? Kama sio weka pichaWewe chura ipo au unawaponda tu team vibamia bila sababu???![]()
Unafeli sasa ...kibongo bongo pesa mbeleMapenzi sio pesa wala six pack
Yuo really mean business miss!I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...
Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....
Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...
Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...
Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...
Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...
At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...
However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia