To you my future hubby

To you my future hubby

iko cku utasema nilitoa wapi hili jitu

I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...

Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....

Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...

Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...

Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...

Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...

At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...

However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
 
huyu amejiunga JF tarehe 29 July kwa muonekano wa uandishi wake ni Mhenga wa JF yaani huko kote hajawahi kupata wa kumwambia? halafu alivyojichanganya kasema atampenda hata kama hatakuwa akimfikisha Orgasm halafu mwisho kasema atamfanyia hivyo as long as Ni mrefu halafu hana Kibamia..Changudoa ni Vigumu kuwa Mke aslani... Yaani Ukishakuwa na Elelemnt ya Kikahaba basi hakuna haja ya kufikiria hayo amambo...... Nyie wadada mliozaliwa na Baba zenu wafupi ina maana mnakufuru Mungu na Kumcheka mama yenu kwa kukubali kuwa na huyo Baba Yenu...

Kiufupi Laani ya kuishi kwa Amani inatoka kinywani Mwako na Huitengeneza Mwenyewe.. Wadad wengi hawaolewi wala kupata Wachumba kwa kuwa hujitakia Laana kwa kutumia Matamanio ya Viuongo Vyao ..
 
huyu amejiunga JF tarehe 29 July kwa muonekano wa uandishi wake ni Mhenga wa JF yaani huko kote hajawahi kupata wa kumwambia? halafu alivyojichanganya kasema atampenda hata kama hatakuwa akimfikisha Orgasm halafu mwisho kasema atamfanyia hivyo as long as Ni mrefu halafu hana Kibamia..Changudoa ni Vigumu kuwa Mke aslani... Yaani Ukishakuwa na Elelemnt ya Kikahaba basi hakuna haja ya kufikiria hayo amambo...... Nyie wadada mliozaliwa na Baba zenu wafupi ina maana mnakufuru Mungu na Kumcheka mama yenu kwa kukubali kuwa na huyo Baba Yenu...

Kiufupi Laani ya kuishi kwa Amani inatoka kinywani Mwako na Huitengeneza Mwenyewe.. Wadad wengi hawaolewi wala kupata Wachumba kwa kuwa hujitakia Laana kwa kutumia Matamanio ya Viuongo Vyao ..
Lazima utakuwa na kibamia wewe au andunje wapo wanawake wanaopenda wanaume wafupi kama wewe, mimi walaa sitakaa niolewe na mwanaume mfupi NEVER kama nyie wanaume mnavyosema mwanamke bila chura havutii
 
Wiki ya kwanza na pengine mwaka wa kwanza, mtoto akizaliwa hayo yote hautayakumbuka.
 
Nimechelewa sana kuona huu uzi, hii ilikuwa fursa
 
I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...

Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....

Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...

Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...

Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...

Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...

At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...

However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
Yuo really mean business miss!
Fingaz crossed!
 
Pole sana ukikua na ukiacha kuangalia tamthilia, afu uishi real life utayaona hayo yote ulioongea km mtihani kwko.
Unweza mpata lkn ndoa haiko hivo unavyodhani. Tena ninyi mnaoongea ongea sana ndio unakuta umempata huyo unayesema afu vitendo F kbs.
 
Back
Top Bottom