binti miss
Member
- Jul 29, 2017
- 91
- 169
- Thread starter
- #121
PoyeeeeUmeanza vizuri mpaka nikaisi labda unaniambia mimi,ila hayo maneno ya mwishoni duh!!
Sent using Jamii Forums mobile app
PoyeeeeUmeanza vizuri mpaka nikaisi labda unaniambia mimi,ila hayo maneno ya mwishoni duh!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzima dearHey Ney!..
Mzima mamie?, potea sana wewe, sijui nani anakuficha!![]()
Mzima dear
Nipo mihangaiko tuu. Hope mnaendelea vizuri,
Ukimuona heaven sent msalimie
Aiseee mkuuu ,, nawish nije oa mwanamke aliye responsible km ivo ulivosema maana duuuhhhhh unaweza hisi apa duniani umebaki mwenyewe tu .....
Ivi ayo unayoyasema nikweli utayafanya au ndo unajipalilia mkaa ???? Kama ndio Uko poa sana ,,Ila kua Good Wife ungeweka kabisa na Uchaji Mungu !!.
Aiseee ubaguzi wa waziwazi huu... Sijui wenye vibamia walikosea nini kwa anayeumba
Nmemsoma mbitiyazi alafu alivosema wenye vibamia hawausiki ,,nikambuka babu yangu kijijin nikiwa mdogo aliwah nambia ....hv umemsoma fresh duh
And you will have to wait until Jesus return to havr such husbandHowever I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
Mmhh yawezekana , ila toka nmejiunga JF huu niuzi niliousoma Mara mbili......katika ambao hamjmuelewa wewe no 1! mtafute Julius Jr akueleweshe
Mmhh yawezekana , ila toka nmejiunga JF huu niuzi niliousoma Mara mbili......
Kwan alimanisha nn ????



Mmhh yawezekana , ila toka nmejiunga JF huu niuzi niliousoma Mara mbili......
Kwan alimanisha nn ????
Watafute uwalete huku michango yao inahitajika sanaVizuri kukusikia dear.
Nitafikisha salamu kwa Heaven Sent
Sijui wana enjoy wapi weekend yeye na espy
Sure kila mtu ana IQ yake... Sema kwawabongo Amna cha IQ wala nini tunafanana tusema kil mtu na IQ yake

That's your opinion dearAnd you will have to wait until Jesus return to havr such husband