To you my future hubby

To you my future hubby

I can't wait to meet you my dear future husband...Nitakutunza na kukuheshimu maisha yangu yote. Your parents will be mine and your relatives and friends will be mine as well...

Nitakuwa na wewe in hard times as well as good times... I will be your comforter and you will never feel alone when am still alive....

Even when you go broke I will always be with you tutakula hata makande, bamia hata ugali na chumvi pamoja as long as we love each other nothing will go wrong... hata tukienda KUPANGA tandale as long as I see you alive that's enough for me hubby...

Sitadiriki kuchepuka hata kama utakuwa hunifikishi kwenye orgasm... I will fake the romantic cries ili tu ujione na wewe unajua kumkuna mke wako...

Asubuhi nitakuamsha na busu tamu nakukupeleka mpaka bafuni nikuogeshe kama kitoto kichanga...

Mchana nitakuletea lunch mpaka ofisini kwako iliyoandaliwa na your own sweet wife... jioni nitakuja kukudrive mpaka nyumbani kwetu... kabla ya yote nitakupa kimoja cha jioni halaf nitakuacha upumzike while am busy in the kitchen cooking for you hubby...

At night tunaingia mchezoni kwa style yoyote utakayotaka dear future hubby...

However I won't do all these if you are not tall, handsome and if you have kibamia
Aiseeh
 
Pole sana ukikua na ukiacha kuangalia tamthilia, afu uishi real life utayaona hayo yote ulioongea km mtihani kwko.
Unweza mpata lkn ndoa haiko hivo unavyodhani. Tena ninyi mnaoongea ongea sana ndio unakuta umempata huyo unayesema afu vitendo F kbs.
Sinaga hata huo muda wa kuangalia tamthiliya wala movie that's not my hobby kwa mimi mwanaume atakaenioa nitamuheshimu na kumpenda siku zote za maisha yangu najua changamoto zipo na kuna kuchokana pia hilo nitakabiliana nalo kwa njia ya maombi ili kila kukicha upendo uzidi kwa mume wangu
 
Sinaga hata huo muda wa kuangalia tamthiliya wala movie that's not my hobby kwa mimi mwanaume atakaenioa nitamuheshimu na kumpenda siku zote za maisha yangu najua changamoto zipo na kuna kuchokana pia hilo nitakabiliana nalo kwa njia ya maombi ili kila kukicha upendo uzidi kwa mume wangu
Hi style mpya ya kujitotongozesha haijawahi kumuacha mtu salama... Yaani full fabricated life.. Kwa kifupi Wanaume hwakubaliana na drama za kwenye kiboard utaendelea kuota mpaka ndoto ipotee...Mapenzi Pesa full stop....Kila siku unaolewa mbona humheshiumu huyo anayekuoa kwa short time? au unadhani huyo Mwingine ni tofauti na hao wanaokuoa kila siku? Ndoa siyo Maneno Ndoa ni Vitendo na Kwa Wanawake Ndoa ni Kukubali Kutii na kuamini kuwa umeolewa na kuelewa kuwa Mke siyo sawa na Mchepuko. Once you understand tofauti ya Mume na Mwanaume ndipo utaona hizo hadithi zako kuwa hazifikiki.. Kweny hoja zako zote bado unamlinganisha Mume na Mchepuko which is very bad notion..

Kikubwa bado mpaka utakapobadili mindsetup zako.. Karibu tuendelee na tamthilia za Kihindi
 
Hi style mpya ya kujitotongozesha haijawahi kumuacha mtu salama... Yaani full fabricated life.. Kwa kifupi Wanaume hwakubaliana na drama za kwenye kiboard utaendelea kuota mpaka ndoto ipotee...Mapenzi Pesa full stop....Kila siku unaolewa mbona humheshiumu huyo anayekuoa kwa short time? au unadhani huyo Mwingine ni tofauti na hao wanaokuoa kila siku? Ndoa siyo Maneno Ndoa ni Vitendo na Kwa Wanawake Ndoa ni Kukubali Kutii na kuamini kuwa umeolewa na kuelewa kuwa Mke siyo sawa na Mchepuko. Once you understand tofauti ya Mume na Mwanaume ndipo utaona hizo hadithi zako kuwa hazifikiki.. Kweny hoja zako zote bado unamlinganisha Mume na Mchepuko which is very bad notion..

Kikubwa bado mpaka utakapobadili mindsetup zako.. Karibu tuendelee na tamthilia za Kihindi
This is what I like to call kelele za chura
 
Back
Top Bottom