To you my future hubby

To you my future hubby

Daaah!! Chini Ndio sifa zangu Tatizo Nini kiba100....

KIMEO CHANGU
 
Inakusaidia nini hiyo chura? And do you have a reasonable joystick au ndo vibamia wenyewe
Viumbe hai wana kitu kinachoitwa sexual traits ambazo ndizo huvutia jinsia nyingine linapokuja suala la sex kwa mfano wanaume wana sauti nzito,ndevu,vifua vikubwa e.t.c ambavyo huvutia wanawake na wanawake wana sauti nyembamba,ngozi laini,maziwa,chura e.t.c ambavyo huvutia wanaume!....kwa upande wangu mimi huwa navutiwa na chura kama vile kulivyo na wanawake ambao huvutiwa na vifua vikubwa vya wanaume!
 
hahahahah wanatuchosha na maurefu yao hawana lolote!hahha!huenda ningetaman! tunasahau sana kuangalia IQ za wanaume!janaume toka asbh saa 4 lina cheza pooltbale kuna kazi hapo sasa shogaa!...au linaBET!limetunisha mgongo ova linaangalia vitu vya maaanaaaaa!nachefukwa sana na desgn ya hawa aic!
Umechafukwa wajina maana nafatilia comments zako naona unatema cheche tuu.
Mpe hii Nalendwa
 
Viumbe hai wana kitu kinachoitwa sexual traits ambazo ndizo huvutia jinsia nyingine linapokuja suala la sex kwa mfano wanaume wana sauti nzito,ndevu,vifua vikubwa e.t.c ambavyo huvutia wanawake na wanawake wana sauti nyembamba,ngozi laini,maziwa,chura e.t.c ambavyo huvutia wanaume!....kwa upande wangu mimi huwa navutiwa na chura kama vile kulivyo na wanawake ambao huvutiwa na vifua vikubwa vya wanaume!
Niitieni wasukuma waje wanipe tafasiri hii "nkema amanilwe njingo"
 
hahahahah wanatuchosha na maurefu yao hawana lolote!hahha!huenda ningetaman! tunasahau sana kuangalia IQ za wanaume!janaume toka asbh saa 4 lina cheza pooltbale kuna kazi hapo sasa shogaa!...au linaBET!limetunisha mgongo ova linaangalia vitu vya maaanaaaaa!nachefukwa sana na desgn ya hawa aic!



Eti limetunisha mgongo, sikuwezi wallah!

Yaani haya ni yale yale tulikuwa tunaongea jana. Kwa kweli mwanaume IQ bwana, si mrefu si mfupi nyingine zote mbwebwe tu.
Halafu imagine what a wastage mtu wa kuwa idle kiasi hicho, haipendezi kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viumbe hai wana kitu kinachoitwa sexual traits ambazo ndizo huvutia jinsia nyingine linapokuja suala la sex kwa mfano wanaume wana sauti nzito,ndevu,vifua vikubwa e.t.c ambavyo huvutia wanawake na wanawake wana sauti nyembamba,ngozi laini,maziwa,chura e.t.c ambavyo huvutia wanaume!....kwa upande wangu mimi huwa navutiwa na chura kama vile kulivyo na wanawake ambao huvutiwa na vifua vikubwa vya wanaume!
Acha kumchanga mwenzio ana simple brain ndiyo maana vigezo vyake lazima visuits minds yake..! Ila asikushambulie maana naona yeye akiulizwa chura anachukia.

Mimi nataka kujua kichwani kuna nini basi..
 
Back
Top Bottom