To ''love'' and ''feel loved''...!

To ''love'' and ''feel loved''...!

Bila dawa, binadamu wote maiti
Lete mchango kaka
kamanda, haya mapenzi hata uyajadili vipi, moyo wa mhusika ndio referee, hamna linesmen kwenye mapenzi.

nitafafanua post ijayo
 
Inategemea na upendo unaouongelea....
Kati ya mzazi na mtoto hua hakuhitajiki mmoja kusema au kumuonyesha mwenzake kama anampenda ili ajisikie anapendwa.We automatically believe and feel that we are loved.Ndo maana hata inapotokea mmoja amefanya kitu ambacho sio kizuri kwa mwenzake anaweza kua excused kirahisi tu....kwa maana ya kwamba ni ngumu kumkuta mzazi akifikiria kwamba mwanae anafanya afanyavyo kwasababu hampendi.Haipo kabisa mawazoni wala kwenye hisia zetu...we know it's there and that's that!

Tukija kwenye upendo wa kati ya mwanamke na mwanaume hapa ndo kuna challenges sasa kwasababu hapa inategemea na mtu mwenyewe!!!Kuna watu ambao wao wakipenda nothing else matters..ndo maana unamkuta mtu yupo na mtu japo anafanyiwa vituko vya kila aina ila bado hapati zile hisia za SIPENDWI kwasababu mapenzi na upofu unaoambatana na mapenzi yake vinamfunika kwenye mapenzi yake mwenyewe kiasi kwamba nae anahisi kupendwa!!Alafu kuna wale wasiojali kupenda bali kupendwa....yani yeye kama mtu anampenda yeye yuko radhi kuwa nae ili yeye ahisi kupendwa bila kuhisi kupendwa kuliko apate ambae atahisi kumpenda alafu asihisi kupendwa!!Mara nyingi hawa ni wale wanaotumia akili zaidi ya hisia zao kuwa kwenye mahusiano!!

Mwisho ni ule wa kati ya ndugu na marafiki....mara nyingi huu watu hua wanapenda tu bila kujali kupendwa kwasababu mapenzi ya waliopo kwenye kundi hili mara nyingu hua yanatolewa bila vigezo!!Yani unampenda tu mtu kwasababu ni rafiki/ndugu yako.....

Kwahiyo mwisho wa siku inategemea mtu na situation aliyopo kuweza kujua muhimu kwake ni kupenda au kupendwa!!
 
Well expressed AD.. I would like to add kua ni muhimu we learn from the mistakes ili walau if you try again, ufeli kipengele kingine but sio kilekile and like you said on and on and on mpaka kufika safari....

sina cha kuongeza dear
umamalizia kila kitu asanteee..
 
i feel more safe with my pillow..
naupenda lakini sijui kama unanipenda back
wont hurt my feelings ..
I feel comfortable around it
doesn't have any feelings..
mmmhhhhh

We kajukuu, hebu tafsiri hii makala uliyoandika hapa kwa kiswahili. Babu kiinglishi is not richabo!
 
We kajukuu, hebu tafsiri hii makala uliyoandika hapa kwa kiswahili. Babu kiinglishi is not richabo!

haman kitu cha maana hapo babu
ni mimi naupenda mto wangu tu ..
na lala nao naukumbatia nikisia baridi
hautaniumiza roho yangu ..

kwa hiyo ni mmi na mto mto na mimi
boyfriend hapana mmmmhhh
nadhani hii inatosha kwa akili ya babu
na AD anamwomba babu asiwaze
sana hayo maneno.. soma tu basi
hahahahaha lol
 
haman kitu cha maana hapo babu
ni mimi naupenda mto wangu tu ..
na lala nao naukumbatia nikisia baridi
hautaniumiza roho yangu ..

kwa hiyo ni mmi na mto mto na mimi
boyfriend hapana mmmmhhh
nadhani hii inatosha kwa akili ya babu
na AD anamwomba babu asiwaze
sana hayo maneno.. soma tu basi
hahahahaha lol

Babu anarudi kitandani kulala.

maelezo ya mjukuu yamemridhisha
 
haman kitu cha maana hapo babu
ni mimi naupenda mto wangu tu ..
na lala nao naukumbatia nikisia baridi
hautaniumiza roho yangu .
.

kwa hiyo ni mmi na mto mto na mimi
boyfriend hapana mmmmhhh
nadhani hii inatosha kwa akili ya babu
na AD anamwomba babu asiwaze
sana hayo maneno.. soma tu basi
hahahahaha lol

suala la nyongeza mheshimiwa. Huo mto unakutosheleza? au ni ile mito inayotumia betri?
 
Mmmmh... I see P Alias is starting to take off..... Usijisahau lakini... Still a long way to go....lol
Once the project has been approved there's no stopping unless fisadi ameingia katikati na kuifanya hio P Alias isitishwe au isimame
 
Once the project has been approved there's no stopping unless fisadi ameingia katikati na kuifanya hio P Alias isitishwe au isimame


Fisadi atoke wapi TF... P Alias is Fisadi/Attack proof.....lol
 
i feel more safe with my pillow..
naupenda lakini sijui kama unanipenda back
wont hurt my feelings ..
I feel comfortable around it
doesn't have any feelings..
mmmhhhhh

Daaaah
:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Wewe huna tofauti na Babu Asprin mpenda Biere
Yeye anaona Biere ndo kila kitu kuliko waifu wake, kwa sababu tu HAINA HISIA.
Hata ukiuletea mwanaume hapo hapo wala hauulizi, unakupa raha tu (MTO *****)

Tunasahau kupenda sio STAREHE wala ANASA
 
I prefer to be loved
rather than being a fool and falling in loven again

when u love some one u r vulnerable
and u invariably get hurt in the end


Maty I so agree with you dear... Muhimu tu ni kua kila mtu apitie aone raha na karaha yake... Ambaye hajawahi fall ... naona kama anakua amepungukiwa design....
 
Raha ya kupenda upendwe bwana, vikikutana hivi vitu kwenye ile point sie tunaiita BEP acha tu. Na ukitaka upendwe na jamii inayokuzunguka wewe tenda mema bila kuchoka, usichukie wenzako, usione wivu, usibeze wenzako hapo lazima wakurudishie tu upendo. Na usipende kupendwa wakati wewe hupendi wenzako
 
Back
Top Bottom