To ''love'' and ''feel loved''...!

To ''love'' and ''feel loved''...!

siipiyuu nimekuelewa vyema sana.........!

THANK YOU VERY MUCH
 
  • Thanks
Reactions: CPU
nimewaelewa vyema sana afrodenzi na wiselady......!

hivi wajameni na hii misemo ya siku hivi....!DO YOU BELIEVE IN THESE SAYINGS?
-love is blind
-love doesn't ask why
-love is when yours and mine become ours
-loves makes the world go around

Love is Blind= Nadhani inamaanisha pale unapo mpenda mtu haijalishi
yukoje, alichofanya, anachofanya, atakacho kifanya
unampenda mtu kama alivyo.
na wengine wengi wataona kitu fulani ambacho kiko nje ya
au si kizuri eaither tabia appearance ( physical)
lakini wewe umeifumbia macho hayo ( huyaoni)

Love doesn't ask why= Kwa sababu kama ni upendo wa dhati majibu yote
( tunafikiri tunayo)

Love is when yours and mines becomes ours= ni kweli lakini hauja kamilika
sababu kwa mimi binafsi naelewa upendo unaweza ulalie upande
mmoja.. ( Hiki ni changu lakini ni cha kwetu sote) waweza mpenda
mtu ambaye ni very selfish ......

Loves makes the world go around= Very true
kila mtu anahitaji upendo, kila nchi inahitaji upendo
watu wanafanyiwa vitu vibaya ajili ya huu upendo
mfano ( US wanaenda Afaghanistan kwa njia ya upendo
wanasema wanaenda huko kuleta amani, na kujenga nchi
kurudishia watu matumaini ya maisha) na dunia nzima tukawasaport
kwa hilo .. lakini Je hicho ndo walichoenda kufanya?? au wamejificha
nyuma ya neno UPENDO..

Sitaki tena maswali magumu
usingizi wangu utakosa raha na LOVE

hahahahah lol
 
nimewaelewa vyema sana afrodenzi na wiselady......!

hivi wajameni na hii misemo ya siku hivi....!DO YOU BELIEVE IN THESE SAYINGS?
-love is blind
-love doesn't ask why
-love is when yours and mine become ours
-loves makes the world go around

love is blind to me nope! Hivyo vingine yes...maelezo zaidi kama nilivyotangulia kusema :nod:
 
sasa kama una 57 mbn huniamkii mm mwenye 60?umejuaje kama humu kuna vitoto vilivyochangia?ebu toa mfano wa mtoto mmoja hapo,aliekwambia mzee haumizwi na mapenzi nani?hujamuona mbibi anaenda shamba mbabu anamfatilia nyuma ili aone anaongea/ongozana na nani?si ni wivu wa mapenzi huo?Ungekuwa mdogo ningekwambia kojoa ukalale,lkn kwakuwa mkubwa mwenzangu welcome to ze world.
Sasa mzee kama mimi mwenye umri wa miaka "57" sijui nichangie nini hapa maana naona ni vitoto tu vilivyochangia!! Teh tih teh tih teh......hivi "watu wazima" wenzangu mpo kweli humu?
 
Sasa mzee kama mimi mwenye umri wa miaka "57" sijui nichangie nini hapa maana naona ni vitoto tu vilivyochangia!! Teh tih teh tih teh......hivi "watu wazima" wenzangu mpo kweli humu?

sasa mbona we hujachangia kitu
umeanza na malalamiko mmmhh
 
Love is Blind= Nadhani inamaanisha pale unapo mpenda mtu haijalishi
yukoje, alichofanya, anachofanya, atakacho kifanya
unampenda mtu kama alivyo.
na wengine wengi wataona kitu fulani ambacho kiko nje ya
au si kizuri eaither tabia appearance ( physical)
lakini wewe umeifumbia macho hayo ( huyaoni)

Love doesn't ask why= Kwa sababu kama ni upendo wa dhati majibu yote
( tunafikiri tunayo)

Love is when yours and mines becomes ours= ni kweli lakini hauja kamilika
sababu kwa mimi binafsi naelewa upendo unaweza ulalie upande
mmoja.. ( Hiki ni changu lakini ni cha kwetu sote) waweza mpenda
mtu ambaye ni very selfish ......

Loves makes the world go around= Very true
kila mtu anahitaji upendo, kila nchi inahitaji upendo
watu wanafanyiwa vitu vibaya ajili ya huu upendo
mfano ( US wanaenda Afaghanistan kwa njia ya upendo
wanasema wanaenda huko kuleta amani, na kujenga nchi
kurudishia watu matumaini ya maisha) na dunia nzima tukawasaport
kwa hilo .. lakini Je hicho ndo walichoenda kufanya?? au wamejificha
nyuma ya neno UPENDO..

Sitaki tena maswali magumu
usingizi wangu utakosa raha na LOVE

hahahahah lol

:biggrin1:
 
Love has got very big eyes,thats y with the person you deeply love you will be able to modify (not change) him/her in away/manner that u want!those are the eyes of love that ur able to see the week points of ur partner ,accept them and modfy them,but we only pretend not to see them and give the azaz a chace to change our partners and we start complaining.
Dont close ur eyes in love and say ur blind in it coz u have eyes to see and make a stape forwad.
nimewaelewa vyema sana afrodenzi na wiselady......!

hivi wajameni na hii misemo ya siku hivi....!DO YOU BELIEVE IN THESE SAYINGS?
-love is blind
-love doesn't ask why
-love is when yours and mine become ours
-loves makes the world go around
 
Babu hapa amekuwa konfuzd

Hivi hapa mjadala unazungumzia nini hasa?

1) Upendo kwa unayelala naye kitandani
2) Upendo kwa mtu wako wa karibu bila kujali jinsia... iwe watoto, wazazi, ndugu, majirani et el
3)Upendo wa Agape...yaani unapenda hata adui yako

Niko kitandani huku
 
Umeelezea mapenzi/upendo vizuri halafu hutaki HARD QNS/HARD TALK?? :biggrin1:

hahahahah lol
kwa saa hizi
ninacho hitaji ni
LOVE, HUGS & KISSES
my pillow will give me all of that
hahahahahahah lol
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Back
Top Bottom