To ''love'' and ''feel loved''...!

hahahahah lol
kwa saa hizi
ninacho hitaji ni
LOVE, HUGS & KISSES
my CPU will give me all of that
hahahahahahah lol

Hebu rekebisha isomeke hivyo hapo juu :dance:
 
TF But if you fail and don't know what hit you then you are doomed... no success there...lol

we just take our chances...
kuna kujaribu na ku pass
kuna kujaribu na ku feli
kitu hicho hicho kuhusu upendo ..
 
Hebu nirudie tena kusoma

"... to LOVE... & ... to feel LOVED..."

I need a cold BEER to understand this hypothesis!

Skulimeti,

Vimiminika vingine si vya kutajwa wakati wa kazi.
 

Ooh kumbe wewe ni ajuza! Lahaula salaleeeeh!! Haya nakaribia kwenye ulimwengu wako mimi mlimwengu niliyezeeka.
 
hapa guarantee mchango wangu unahitajika, lakini naamua kuuchuna.
 

Babu
Yesu alipokufa msalabani kwa dhambi zetu, UPENDO wake ulikuwa ni kwa ajiri ya kila mtu bila kujali kitanda. Tofauti na huyo unaelala nae ni tendo la ndoa tu (Hilo tendo si upendo)
Lakin mengine yote unaweza kufanya kwa yeyote
 
we just take our chances...
kuna kujaribu na ku pass
kuna kujaribu na ku feli
kitu hicho hicho kuhusu upendo ..



Well expressed AD.. I would like to add kua ni muhimu we learn from the mistakes ili walau if you try again, ufeli kipengele kingine but sio kilekile and like you said on and on and on mpaka kufika safari....
 
nimewaelewa vyema sana afrodenzi na wiselady......!

hivi wajameni na hii misemo ya siku hivi....!DO YOU BELIEVE IN THESE SAYINGS?
-love is blind
-love doesn't ask why
-love is when yours and mine become ours
-loves makes the world go around
When you contemplate this saying, ask yourself why do i believe this, what is it based, why should it be true. People generally use this saying to express how love blinds a person to another persons faults. Sometimes to extreme. For most people love is confused with deep need.

It is not that love is blind it is the fear, the deep seated need of love that blinds you, True love itself its burningly clear. Real love is never confusing. When you experiences love from the inside out and share that with your partner, there is crystal clear honesty from within yourselves outwards.
 
Mhh!Kumisi CPU?hapana..imejaza mambo mengi sana kwenye ubongo wake na inaweza kunisabibishia matatizo ya not "to feel loved"

Hii sio CPU ya Bill Gates wa Microsoft Inc.
Hii ni CPU ambayo U'LL LOVE AND FEEL LOVED BACK
 
Babu
Yesu alipokufa msalabani kwa dhambi zetu, UPENDO wake ulikuwa ni kwa ajiri ya kila mtu bila kujali kitanda. Tofauti na huyo unaelala nae ni tendo la ndoa tu (Hilo tendo si upendo)
Lakin mengine yote unaweza kufanya kwa yeyote

Ewaaaa,

sasa niambie Teamo Ti anauzungumzia Upendo upi hasa? Wa kimapenzi?
 
Ewaaaa,

sasa niambie Teamo Ti anauzungumzia Upendo upi hasa? Wa kimapenzi?

Babu naona bado hujanielewa
Tofauti kati ya mkeo na wanawake wengine ni tendo la ndoa tu
Hakuna tofauti ya UPENDO inayopaswa iwepo between.
 


Kwa maelezo haya... saizi you have passed...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…