Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
ndo ujue ushamba sio kutoka shamba tu..hata mjini kuna washamba...na kuna tofauti kati ya ujinga na upumbavu mkuu..huu ni upumbavu...bora kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavusema kana ule ujuaji wa kibongo bongo kwamba anaandika au kuongea sana ndo anajua..na kuasume kama unishi kinondoni ni mjanja..ni tatizo maana mtu kuquote na kuweka nyuzi za kuprovork watu..ukipigwa unasema watu wanakufuatilia..na najiulza hivi mtu ukwa maarufu jf au social media izi inasaidia nini..yaani mtu kuwa maarufu jf inakusidia nini..? wabongo tuna safari ndefu sana...na reason nazisikia ni hizo oooho unaniuatilia ooh unanifanya maarufu..then what..? sijawahi ona ujinga hivi mkuu