To all good and hardworking men out there

To all good and hardworking men out there

Leo ndio nimejua maana ya neno confidence nilikuwa sijui eti...

Kumbe hiyo ndio confidence...hahaha subiri nishushe Serengeti yangu bariidiii

Hakuna cha confidence hapo.

Bali kuna mtu ambaye ni mgonjwa aonaye maruerue na kujiaminisha kwenye akili yake kuwa yeye ndo yeye ilhali ukweli wa mambo ni ana matatizo.

Al junun funun bana.....wazimu una matawi mengi ati.....
 
nimeipenda sana hii...
"Wanawake tuwe wavumilivu na wenye subira.Kama jamaa hajafikia standard guide him through it na najua wanaume zetu hawarekebishiki mpaka watake but usikate tamaa, ua lako kama unataka listawi lipalilie.Its your man walk with him through it. Only the strongest will survive.
"
 
Hakuna cha confidence hapo.

Bali kuna mtu ambaye ni mgonjwa aonaye maruerue na kujiaminisha kwenye akili yake kuwa yeye ndo yeye ilhali ukweli wa mambo ni ana matatizo.

Al junun funun bana.....wazimu una matawi mengi ati.....

Imebidi nishangae .....kama hile ndio confidence na mtu anasifia kabisha...ni Shida ...acha niburudike na Serengeti yangu....hahaha
 
Leo ndio nimejua maana ya neno confidence nilikuwa sijui eti...

Kumbe hiyo ndio confidence...hahaha subiri nishushe Serengeti yangu bariidiii

Confidence is generally described as a state of being certain either that a hypothesis or prediction is correct or that a chosen course of action is the best or most effective. - Wikipedia

She believes in her own words and courses of actions or at least appears to be doing so (I dont really care, though).

Give it a name (if I am wrong, that is). I would gladly stand corrected.
 
At the least, I admire your confidence na misimamo. You always stand up to your word. Just that....
Weweeee! Mimi ni mvivu by nture so lazima kazini niwe supevisor. Kazi zangu zote naanzia u supervisor. Sasa kama unavojua mtu mwenyewe kwanza mwanamke afu mdogo kwa siasa za maofisini bila kukaza would you last even for a day? Manake hujaongea washaanza kazi za chupi hizi sijui nini. Mind you hapo unatakiwa umake things happen na ukizembea kazi huna, bila kusahau ni mvivu so lazima ile kazi niiwze.

Weeeeeeeeee! Siku 3 tu wanashika adabu zao zinaashika, wababa watu wazima na midevu yao, watoto wao wakubwa, na wake zao. Nawanyeaaaaaaaa, ile face to face namtizama mtu machoni afu namnyea live. Itakuwa hawa wa nyuma ya key board. In the end they wont love me, but they will learn to stay in their plces ambacho kwangu ndo lengo haswaaaa. Wanabkiaga haka kabinti ni kadogo lakini kana kiburiii, lazima atakuwa anavuta bangi mbichi huyu. Hahahaaa! Siku ingine nikiongea kidogo tu, sawa mama, tumekusikia mama, sio hivo mama yangu. Hahahaaaaaaaaa! Sema kwa kuniloga hawana mpinzani.

Yaani majaribio ya watu kunishake kizembeee namna hii humu ndani nachekaga tu. Hahahaaaaaa! Washazoea kwao kuwapa wake zao oda basi wakiona mwanamke yeyote wanajua atawasikiza. Wambnwa kweli haja kubwa. Tunakushauri fyoko fyoko wakawashauri wake zao wawape TIGO. Alaaaaaaaaaaa. Unishauri kama nani? Unanipa nini kwa mfano? Yako yanakushinda uje unishauri mie inahusuuuuuuu! Mxiuuuuuuuuuuuuuuu! Laiti wangejua wangekaaga kimya. Maana mwisho wa siku MAMBO YLE YALE YATAENDELEA.
 
HAHAHAAAAAAAAAAAA! MI NISHAZOEA KABISAAAAAAA! Nime survive watu wazitooo itakuwa CUNT BOY! Cunt boy kunia attack sio mara ya kwanza, anajitahidi kujihusisha vibaya mnoo na mambo yangu MI NAMPOTEZEAAAA TU. Atajikomba mpaka na mareputation comment hiki kisiki cha mpingoooooo. Wewe nilimsavie jini maimunaa na kikundi chake chooote itakuwa huyu cunt boy? Hahahahaaaaaaaaaaa! MBADO. Hii mara ya pili, ya kwanza alipigwa BAN hio 2012. He never won then, he will never win now.

kwi kwi kwi jini maimuna kama.nampata pata i reserve my comment huyu the so called cunt boy asikulet down wengi wanaishi na mawazo ya mwaka 47 akitokea mtu akajipambanua lazima wa mpush back by any means
 
Confidence is generally described as a state of being certain either that a hypothesis or prediction is correct or that a chosen course of action is the best or most effective. - Wikipedia

She believes in her own words and courses of actions or at least appears to be doing so (I dont really care, though).

Give it a name (if I am wrong, that is). I would gladly stand corrected.

A chosen course of action is the best or most effective.... Hata chizi anapoamua kutembea uchi it is a confidence .....this is a free country...ha ha ha not a credit
 
A chosen course of action is the best or most effective.... Hata chizi anapoamua kutembea uchi it is a confidence .....this is a free country

Yeap...and thats my point. Who am I to judge what is right or wrong, and point a finger? Have I been personally affected?

Laws, constitutions, principles and science are there specifically for that....
 
Yeap...and thats my point. Who am I to judge what is right or wrong, and point a finger? Have I been personally affected?

Laws, constitutions, principles and science are there specifically for that....

Being stupid for some people is a matter of choice whether it is illegal or not and this does not justify the fact that there is no reasonable doubt to the surrounding society...

Maybe be you're selfish..coz it is against all odds to let someone do bad things in the name of free country and freedom of speech...we need to behave and take our responsibilities as men and women...
 
MXIUUUUUUUUUUUUUUUUUUU! Lazima niwe MJUAJI si naishi mjini kwa jeuri yanguuuu! MNIONE MJUAJI, MNIONE INSANE HAINIPUNGUZIII HATA SENTI TANO KIPANDE BANK UPO HAPO? Hata ukiniona wa maana ITANISAIDIA NINI KWA MFANO? Kuniona kwako kwa maana hakunigei hata MB 8 tu.

Sasa basi hayo mawazo mpelekee MKEO unaempa kunya. As long as MB NANUNU MWENYEWEEE MAKAMUZI YALE YALE.

hutaki usisome nchi huru hii sio kunipangia cha kufanya huku naishi kwa jeuri yangu. Ushaona wapi? Nipishe kule. Mxiuuuuuuuuuuuuuuuu!
U sound like loosed mind pole sana..ujuaji mwingi hamna kitu..stress unamalizia jamii forum..kilaza sana
 
U sound like loosed mind pole sana..ujuaji mwingi hamna kitu..stress unamalizia jamii forum..kilaza sana

HAHAHAAAAAAAAAAAA! Pole wewe uaehangaika na mtu usiemjua, hakulishi, hakuweki mjini, kazi unayo babaaaa eeeh! Na kujitia sana stress mwaka huuuu! Si unapenda kuniftilia kaa stand by!:lol::lol::lol::lol:.

Haya mawazo yenu na hoja zenu za kitoto mpeane hukoo ushuani, ambako verybody cares what every body does! Hahahaaa! Na muda unao? Hivi ukiniuliza najua ulichowahi ku commnt humu unafikiri najua? Thubutuuuuuuuu! BECAUSE I DONT GIVE A RATS A.SS WHO IS YOU OR WHAT YOU DO! Hahahaaaa! Sasa wewe fatilia mpaka nitakochambia kesho uone mwisho wa siku kama senti 5 itaongezeka bank! Hahhaaaaaaaaaaa! GOOD LUCK!

The only time you become relevant kwangu ni mkiniquote kama hivi inaleta notifications, other wise mnabwekea wapi, ni watu wa aina gani SINA MDA HUOOOO, ndo maana ni ngumu sanaa muongee kitu nikione cha maana maana wenyewe nishawatoa maana siku nyingi sanaaa. YANI HAPA MTAJISUMBUA MIAKA 800000000000 HIZO SHAURI SHAURI ZENU SHAURIANENI NA WAKE ZENU MPEANE TIGO NDO KIDOGOOOOOO LITAKUWA LA MSINGI KWENU. Hahahaaaaaaa! Na bado.

Mtu kama wew siku ukiniona na akili nitaenda kuchana vyeti vyoote maana akili zako zenyewe hazina akili uko busy kabisaa namtu asiekupa faida japo ya sh 100 tu! Khaaaaaaa! Mnayawezaaa. Hhahaaaaaa.
 
HAHAHAAAAAAAAAAAA! Pole wewe uaehangaika na mtu usiemjua, hakulishi, hakuweki mjini, kazi unayo babaaaa eeeh! Na kujitia sana stress mwaka huuuu! Si unapenda kuniftilia kaa stand by!:lol::lol::lol::lol:.

Haya mawazo yenu na hoja zenu za kitoto mpeane hukoo ushuani, ambako verybody cares what every body does! Hahahaaa! Na muda unao? Hivi ukiniuliza najua ulichowahi ku commnt humu unafikiri najua? Thubutuuuuuuuu! BECAUSE I DONT GIVE A RATS A.SS WHO IS YOU OR WHAT YOU DO! Hahahaaaa! Sasa wewe fatilia mpaka nitakochambia kesho uone mwisho wa siku kama senti 5 itaongezeka bank! Hahhaaaaaaaaaaa! GOOD LUCK!

The only time you become relevant kwangu ni mkiniquote kama hivi inaleta notifications, other wise mnabwekea wapi, ni watu wa aina gani SINA MDA HUOOOO, ndo maana ni ngumu sanaa muongee kitu nikione cha maana maana wenyewe nishawatoa maana siku nyingi sanaaa. YANI HAPA MTAJISUMBUA MIAKA 800000000000 HIZO SHAURI SHAURI ZENU SHAURIANENI NA WAKE ZENU MPEANE TIGO NDO KIDOGOOOOOO LITAKUWA LA MSINGI KWENU. Hahahaaaaaaa! Na bado.

Mtu kama wew siku ukiniona na akili nitaenda kuchana vyeti vyoote maana akili zako zenyewe hazina akili uko busy kabisaa namtu asiekupa faida japo ya sh 100 tu! Khaaaaaaa! Mnayawezaaa. Hhahaaaaaa.
Kukufuatilia kivipi..yaani upost ujinga watu wakikupinga wanakufuatilia..mbona upo delusional sana na assumption za kijinga kijinga. Hasara sana
 
Kukufuatilia kivipi..yaani upost ujinga watu wakikupinga wanakufuatilia..mbona upo delusional sana na assumption za kijinga kijinga. Hasara sana

Mmmmmmmh! SI NDO KAMA HIVO KUSOMA HUO UJINGA SASA! Manake wewe kwanza sikujui, unachoandika SISOMIIII, na ikitokea nimesoma ujue bahati mbayaa tu, ajali kazini, Upo hapo? Hata wakipinga INASAIDIA NINI? Mwaka wa 3 huu kuna kilichobadilika? Si napost ujinga ule ule na bado mnasomaaa!:lol:.

YANI HAPA UNANICHOSHAAAAA! NISHASEMA HAPA MMESANDAAA NAFANYA NITAKACHO MIMI MIAKA 800000. Asietaka ASISOME NCHI HUU HIII. Ila mtani quote paka mwisho wa dahari nitaandika utumbo ule ule. Ujue hizo mboni mmepewa zina kazi kama hivo kutokusoma visivo wapendeza! :lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:

Mxiuuuuuuuuuuuuuuu! Tusichoshane, no matter what your opinion is I WILL ALWAYS WRITE WHAT I FEEL LIKE WHEN I FEEL LIKE IT.

Mbona mi sina mda mchafu kutoa opinion mnavoviandikaaa? Nchi huru hii, nimewaachia muandike ushuzi wowote mtaojisikia maadamu msinitake tu.:lol:! Kigumu kipi hapo? Hayo ndo mambo ya mjini kila mtu kushika hamsini zake humu jamvini. Kusoma usome mwnyewe povu likutoke mwenyewe mbonaaa majangaaaaaaaaaaa! :lol::lol::lol:.

Yani hapa kwangu mmfika mbona na sheria sheria zenu za kiduwanzi. Heheheeheeeeeeeee! Nacheka kwa masikitiko mjue.

Walishindwa wakongwe humu, wameongeaaa mpaka midomo imepindaaa, wakanitumia watu weee, naitikia afu kifatacho ITV kile kile, wakasusia mada kuchangia, bado niko Gado, sipepesi hata jicho, naandika yale yale maybe even worse! Hahahaaa! Siku hizi washanizoea na kujua kunguru mie sifugiki hata siku moja. Wameniacha tu, wanajifanya kama hawaoni, na ndo navotaka hivo. MADA HUZIWEZI SUSAAAA! Nchi huru hii.
 
Weweeee! Mimi ni mvivu by nture so lazima kazini niwe supevisor. Kazi zangu zote naanzia u supervisor. Sasa kama unavojua mtu mwenyewe kwanza mwanamke afu mdogo kwa siasa za maofisini bila kukaza would you last even for a day? Manake hujaongea washaanza kazi za chupi hizi sijui nini. Mind you hapo unatakiwa umake things happen na ukizembea kazi huna, bila kusahau ni mvivu so lazima ile kazi niiwze.

Weeeeeeeeee! Siku 3 tu wanashika adabu zao zinaashika, wababa watu wazima na midevu yao, watoto wao wakubwa, na wake zao. Nawanyeaaaaaaaa, ile face to face namtizama mtu machoni afu namnyea live. Itakuwa hawa wa nyuma ya key board. In the end they wont love me, but they will learn to stay in their plces ambacho kwangu ndo lengo haswaaaa. Wanabkiaga haka kabinti ni kadogo lakini kana kiburiii, lazima atakuwa anavuta bangi mbichi huyu. Hahahaaa! Siku ingine nikiongea kidogo tu, sawa mama, tumekusikia mama, sio hivo mama yangu. Hahahaaaaaaaaa! Sema kwa kuniloga hawana mpinzani.

Yaani majaribio ya watu kunishake kizembeee namna hii humu ndani nachekaga tu. Hahahaaaaaa! Washazoea kwao kuwapa wake zao oda basi wakiona mwanamke yeyote wanajua atawasikiza. Wambnwa kweli haja kubwa. Tunakushauri fyoko fyoko wakawashauri wake zao wawape TIGO. Alaaaaaaaaaaa. Unishauri kama nani? Unanipa nini kwa mfano? Yako yanakushinda uje unishauri mie inahusuuuuuuu! Mxiuuuuuuuuuuuuuuu! Laiti wangejua wangekaaga kimya. Maana mwisho wa siku MAMBO YLE YALE YATAENDELEA.

Lunatic!
 
Being stupid for some people is a matter of choice whether it is illegal or not and this does not justify the fact that there is no reasonable doubt to the surrounding society...

Maybe be you're selfish..coz it is against all odds to let someone do bad things in the name of free country and freedom of speech...we need to behave and take our responsibilities as men and women...

Define 'bad'. That's where the issue rises.

Ethics, you know. The definition of what is right and wrong varies between places, people and times.

I can't take my personal belief of what is good or bad and shove it into someone's face simply because theirs is different from mine. Thats totally wrong and unacceptable. (Says who? Principles of human interaction. Correct me if I am wrong)

Keep your cool and have fun. We are in the cyber world.
 
Kukufuatilia kivipi..yaani upost ujinga watu wakikupinga wanakufuatilia..mbona upo delusional sana na assumption za kijinga kijinga. Hasara sana

Paranoid schizophrenics ndo wapo hivyo.

They think everybody is out to get them.

Sasa hako kendawazimu kakinya humu halafu mtu ukiamua kupuuza na kutokukajibu eti kanajiona kameshinda. Unaona kalivyo na hitilafu kichwani?

Halafu basi, eti kana maadui humu. Mtu gani mwenye akili timamu anaweza kuwa na maadui ambao (1) hawajui, (2) hajawahi hata kuwaona, na (3) hao maadui hata hawajui kuwa yeye ni adui yao?

Nani mwenye akili timamu anaweza kuwa hivyo?

Ni wendawazimu tu wenye kuona maruerue ndo wanaweza kuwa hivyo.

Sasa hapo wewe ukiamua kukaacha kanye kenyewe eti kanajiona kameshinda na kanatangaza kabisa ushindi!

Halafu kama hivi ukikanukuu na kukajibu kanajiona ka muhimu kweli kweli sababu tu umekanukuu. Siku utakayokapa 'Like' katautangazia umma wote wa JF kwamba umekapa 'Like' na katika wazimu wake kataona ni kamtu ka maana sana.

So go figure!
 
Mmmmmmmh! SI NDO KAMA HIVO KUSOMA HUO UJINGA SASA! Manake wewe kwanza sikujui, unachoandika SISOMIIII, na ikitokea nimesoma ujue bahati mbayaa tu, ajali kazini, Upo hapo? Hata wakipinga INASAIDIA NINI? Mwaka wa 3 huu kuna kilichobadilika? Si napost ujinga ule ule na bado mnasomaaa!:lol:.

YANI HAPA UNANICHOSHAAAAA! NISHASEMA HAPA MMESANDAAA NAFANYA NITAKACHO MIMI MIAKA 800000. Asietaka ASISOME NCHI HUU HIII. Ila mtani quote paka mwisho wa dahari nitaandika utumbo ule ule. Ujue hizo mboni mmepewa zina kazi kama hivo kutokusoma visivo wapendeza! :lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:

Mxiuuuuuuuuuuuuuuu! Tusichoshane, no matter what your opinion is I WILL ALWAYS WRITE WHAT I FEEL LIKE WHEN I FEEL LIKE IT.

Mbona mi sina mda mchafu kutoa opinion mnavoviandikaaa? Nchi huru hii, nimewaachia muandike ushuzi wowote mtaojisikia maadamu msinitake tu.:lol:! Kigumu kipi hapo? Hayo ndo mambo ya mjini kila mtu kushika hamsini zake humu jamvini. Kusoma usome mwnyewe povu likutoke mwenyewe mbonaaa majangaaaaaaaaaaa! :lol::lol::lol:.

Yani hapa kwangu mmfika mbona na sheria sheria zenu za kiduwanzi. Heheheeheeeeeeeee! Nacheka kwa masikitiko mjue.

Walishindwa wakongwe humu, wameongeaaa mpaka midomo imepindaaa, wakanitumia watu weee, naitikia afu kifatacho ITV kile kile, wakasusia mada kuchangia, bado niko Gado, sipepesi hata jicho, naandika yale yale maybe even worse! Hahahaaa! Siku hizi washanizoea na kujua kunguru mie sifugiki hata siku moja. Wameniacha tu, wanajifanya kama hawaoni, na ndo navotaka hivo. MADA HUZIWEZI SUSAAAA! Nchi huru hii.

embu jisome tena..kama usipoon tatizo lako kesho wahi MNH dept. ya psychiatry watkuaidia..pole sana
 
Paranoid schizophrenics ndo wapo hivyo.

They think everybody is out to get them.

Sasa hako kendawazimu kakinya humu halafu mtu ukiamua kupuuza na kutokukajibu eti kanajiona kameshinda. Unaona kalivyo na hitilafu kichwani?

Halafu basi, eti kana maadui humu. Mtu gani mwenye akili timamu anaweza kuwa na maadui ambao (1) hawajui, (2) hajawahi hata kuwaona, na (3) hao maadui hata hawajui kuwa yeye ni adui yao?

Nani mwenye akili timamu anaweza kuwa hivyo?

Ni wendawazimu tu wenye kuona maruerue ndo wanaweza kuwa hivyo.

Sasa hapo wewe ukiamua kukaacha kanye kenyewe eti kanajiona kameshinda na kanatangaza kabisa ushindi!

Halafu kama hivi ukikanukuu na kukajibu kanajiona ka muhimu kweli kweli sababu tu umekanukuu. Siku utakayokapa 'Like' katautangazia umma wote wa JF kwamba umekapa 'Like' na katika wazimu wake kataona ni kamtu ka maana sana.

So go figure!

sema kana ule ujuaji wa kibongo bongo kwamba anaandika au kuongea sana ndo anajua..na kuasume kama unishi kinondoni ni mjanja..ni tatizo maana mtu kuquote na kuweka nyuzi za kuprovork watu..ukipigwa unasema watu wanakufuatilia..na najiulza hivi mtu ukwa maarufu jf au social media izi inasaidia nini..yaani mtu kuwa maarufu jf inakusidia nini..? wabongo tuna safari ndefu sana...na reason nazisikia ni hizo oooho unaniuatilia ooh unanifanya maarufu..then what..? sijawahi ona ujinga hivi mkuu
 
Back
Top Bottom