To all good and hardworking men out there

To all good and hardworking men out there

..serious state of inner turmoil...pacing back & forth..damn it!!
 
Habari za saa hizi wapendwa wangu,

Leo marafiki ningependa tuongelee kuhusu insecurities za wanaume wetu wa kisasa.

Inawezekana wanawake sisi ndio chanzo cha wanaume wengi wasijiamini kwasababu walio wengi hawajafikia expectations zetu.Lakini wanaume mjiamini please dont let any woman put you down.If you are insecure na hujiamini hakuna mwanamke atakayekutaka.

Speaking from a woman´s perspective we women need men who provides security to us,who will guide us and protect us.We need men who will be there for us and stand out there for us.And when i say guidance,sio maguvu wala madharau na kejeli,"Mind your words they can make and break anything"

You might not have it now but if you stand to achieve your goals you will reach them.Its not about the money or other materialistic stuff its about you and how you place yourself out there.Hakuna mwanamke anayetaka mwanaume kigeugeu asojielewa.Kuwa na msimamo,jua nini unataka na pigania kukipata.Dont expect to grow roses while you are busy planting lillies.

Wanawake tuwe wavumilivu na wenye subira.Kama jamaa hajafikia standard guide him through it na najua wanaume zetu hawarekebishiki mpaka watake but usikate tamaa, ua lako kama unataka listawi lipalilie.Its your man walk with him through it. Only the strongest will survive.

At last if you are a good guy learn to appreciate,respect and cherish good people who are there for you.
Not all days are Rainy neither Sunny days.

Wasalaam, gorgeousmimi

yaaan! umenikosha mama!!!
kakangu hajaoa plz be my wiiiii!
kuna wanaume hawajiamin had kero had unataman umuazime moyo wako! so at the end kazi yako ni kumtia moyo tuuuuu!
 
MXIUUUUUUUUUUUUUUUUUUU! Lazima niwe MJUAJI si naishi mjini kwa jeuri yanguuuu! MNIONE MJUAJI, MNIONE INSANE HAINIPUNGUZIII HATA SENTI TANO KIPANDE BANK UPO HAPO? Hata ukiniona wa maana ITANISAIDIA NINI KWA MFANO? Kuniona kwako kwa maana hakunigei hata MB 8 tu.

Sasa basi hayo mawazo mpelekee MKEO unaempa kunya. As long as MB NANUNU MWENYEWEEE MAKAMUZI YALE YALE.

hutaki usisome nchi huru hii sio kunipangia cha kufanya huku naishi kwa jeuri yangu. Ushaona wapi? Nipishe kule. Mxiuuuuuuuuuuuuuuuu!

Mtoto Wa kike stara wewe....jiangalie hii Dunia
 
Hii thread ni nzuri lakini kuna "muungwana" mmoja anainajisi, huko tuendako nahisi itatiwa kapuni.
Ujuaji ukizidi ni shiiiiiida sana.
 
"some people are alive because its illegal to shoot them"

haka kamsemo kana tija sana!
 
Ivi wakipita wale opereshi tokomeza mirembe tutasalimika kweli humu?????
 
You are so full of wisdom, so romantic, so gorgeous, unajua much about Mars and Venus, wanawake wengi hawawaelewi waume zao, hawaelewi wao ni walinzi, hawaelewi wao ndo nguzo, hawaelewi wao ndo directors.. Lakin mwanaume hawezi kukupa heshima zote hizo kama upstairs hamna kitu, mvivu, mchafu, mpenda kujirusha etc.. Ambae hujui kwenye maisha kuna ups and down. At least umewaambia kidogo
 
Problem is being bothered by a problem you already know it's a problem. I'm just saying
 
Hahaaaa! I HAVE YOU ALL WHERE I EXACTLY WANTED YOU. NOW IS SHOW TIME. Thank you for the audience. 1 WOMANS ARMY.

At the least, I admire your confidence na misimamo. You always stand up to your word. Just that....
 
"some people are alive because its illegal to shoot them"

haka kamsemo kana tija sana!

But you can't shoot what you can't see.

What we have here is faux courage enabled by cyber anonymity.

You can't behave in the streets the way that turd behaves in here without getting physically checked.

I swear upon everything had this back and forth happened in the real world somebody would have been coldcocked and made to shut down real quick.

But in the cyber-world you can't do much.

You just gotta learn to live with its reality and keep it moving.
 
NEVER EVER APPOLOGISE FOR ME FOR ANYTHING. I can handle these few losers. I have handled worse. WATCH ME TAKE CARE OF THIS LITTLE INCIDENT. I am Lara 1 remember. Never lost a feud in JF history and I NEVER HAVE NOR WILL APOLOGISE FOR SHIT.

Mi nilijuaga JF ni jukwaa la watu wenye fikra pevu, sikujuaga ni la personal glory. Kwanini mtu akileta kitu kizuri ina kuwa tena'feud', na kumbe kuna kushinda 'malumbano'?, why are we so selfish? Kwanini mtu ukileta mada usipewe credit na appreciation zinazokustahili bila watu kuona wivu na biff? Still gorgeousmimi uko vizuri kichwani... Salute!!
 
Mi nilijuaga JF ni jukwaa la watu wenye fikra pevu, sikujuaga ni la personal glory. Kwanini mtu akileta kitu kizuri ina kuwa tena'feud', na kumbe kuna kushinda 'malumbano'?, why are we so selfish? Kwanini mtu ukileta mada usipewe credit na appreciation zinazokustahili bila watu kuona wivu na biff? Still gorgeousmimi uko vizuri kichwani... Salute!!

Yeah, I suppose there is winning and losing.

But that's exactly what delusions of grandeur is.

A person convinces herself that she is the shit and wins all of her chatty-patties and lifts the trophy.

Yep...wins all of her chatty-patties and gloats about it.

That my friend is a window into the mental and emotional state of that person.

In other countries there are statutes that govern the handling of such people.

And this jacket, 'straitjacket' comes in very handy.

Jb-50.jpg
 
Mi nilijuaga JF ni jukwaa la watu wenye fikra pevu, sikujuaga ni la personal glory. Kwanini mtu akileta kitu kizuri ina kuwa tena'feud', na kumbe kuna kushinda 'malumbano'?, why are we so selfish? Kwanini mtu ukileta mada usipewe credit na appreciation zinazokustahili bila watu kuona wivu na biff? Still gorgeousmimi uko vizuri kichwani... Salute!!

Mkuu utazoea tu humu "kenge" na "mamba" wote wapo, tatizo wanatofautiana tu rangi zao na wengine hawaeleweki kuwa ni mamba au ni kenge..... Jifunze kuvumilia, kuna "midubwana "humu haifai hata kulumangia lakini pia kuna WAUNGWANA ambao ni zaidi ya NDUGU yani hujuti kuwafahamu.....ndio dunia hiyo ya utandawazi
 
Back
Top Bottom