TNMC kulipisha wanachuo 30,000 ili wapewe coupon za kufanyia mtihani na bado tena Mwanachuo analipishwa 150,000 kufanya mtihani ni wizi na upigaji

nuporo

JF-Expert Member
Oct 18, 2018
1,313
2,714
TNMC kulipisha wanachuo 30000 ili waapewe coupon za kufanyia mtihani na bado tena mwanafunzi analipishwa 150,000 kufanya mtihani.. Hili ni Janga upigaji kila Kona

Baraza la wauguzi na wakunga TNMCS imeendelea kutuma taarifa za kuzisambaza kwa wakuu wa chuo kimya kimya ikiwataka wanachuo wanaotegemea kufanya mitihani Yao ya leseni kuanzia Desemba hii yaani 2023 kuhakikisha wanalipia 30000 ili waweze kupata coupon ya kufanyia mtihani kutoka chuoni , nje na pesa ambayo inabidi tena mwanachuo ailipie. Ili afanye mtihani wake waa leseni ambayo ni 150,000/=

Utaratibu huu umeeanza mwaka huu na unachochewa sana kwa wakuu wa vyuo bila ufafanuzi rasm kutoka katika website Yao ya TNMCIS

Jamani wizara husika msaidir vijana pesa ni ngumu sana hizi pesa za kutaka coupon mbona miaka ya nyuma haikuepo watoe 150,000 ya mtihani bado tena na 30,000? Mbona miaka ya nyuma walikuwa wanafanya bila kulipia hiyo pesa? Watu hawana mikopo hali ngumu ya maisha

Nini hasa kipya cha kufanya hivyo ?
 
Hii Ni dunia ya dog eats dog sema unaambiwa kuwa unapendwa,Mara unahubiriwa neno unapigwa ,Mara kiuongozi wako wa kisiasa Ni kukula,Mara sijui mpendwa nakupenda unaliwa.
We're animals and we're hunting whether you like or not.
Mfano bodi ya engineers Ni kukusanya Ada Ila haifuatilii ama kutunga sheria Kali kwa mkandarasi anayetumia cv ya Engineer bila ya yeye kuwa na taarifa.
Hao hao wanaweza wakashirikiana na crb hakuna mradi kusajiliwa bila ya Engineers na apigiwe simu ahakikishwe na mifano Ni mingi hata kwa kada zingine watu wanacheki tu kukula wewe.
Mara cwt hapa na 2% unaishia kupata tisheti Mei Mosi.
Mara hapa eti nssf unawekewa pesa unaliwa ndugu kula ndugu mbona wabunge wenyewe hawatunziwi wake kupewa uzeeni mwao wakishachoka.
 
TNMC kulipisha wanachuo 30000 ili waapewe coupon za kufanyia mtihani na bado tena mwanafunzi analipishwa 150,000 kufanya mtihani.. Hili ni Janga upigaji kila Kona


Baraza la wauguzi na wakunga TNMCS imeendelea kutuma taarifa za kuzisambaza kwa wakuu wa chuo kimya kimya ikiwataka wanachuo wanaotegemea kufanya mitihani Yao ya leseni kuanzia Desemba hii yaani 2023 kuhakikisha wanalipia 30000 ili waweze kupata coupon ya kufanyia mtihani kutoka chuoni , nje na pesa ambayo inabidi tena mwanachuo ailipie. Ili afanye mtihani wake waa leseni ambayo ni 150,000/=

Utaratibu huu umeeanza mwaka huu na unachochewa sana kwa wakuu wa vyuo bila ufafanuzi rasm kutoka katika website Yao ya TNMCIS


Jamani wizara husika msaidir vijana pesa ni ngumu sana hizi pesa za kutaka coupon mbona miaka ya nyuma haikuepo watoe 150,000 ya mtihani bado tena na 30,000? Mbona miaka ya nyuma walikuwa wanafanya bila kulipia hiyo pesa? Watu hawana mikopo hali ngumu ya maisha

Nini hasa kipya cha kufanya hivyo ?
Mkuu weka hiyo sms tuione!
 
TNMC kulipisha wanachuo 30000 ili waapewe coupon za kufanyia mtihani na bado tena mwanafunzi analipishwa 150,000 kufanya mtihani.. Hili ni Janga upigaji kila Kona

Baraza la wauguzi na wakunga TNMCS imeendelea kutuma taarifa za kuzisambaza kwa wakuu wa chuo kimya kimya ikiwataka wanachuo wanaotegemea kufanya mitihani Yao ya leseni kuanzia Desemba hii yaani 2023 kuhakikisha wanalipia 30000 ili waweze kupata coupon ya kufanyia mtihani kutoka chuoni , nje na pesa ambayo inabidi tena mwanachuo ailipie. Ili afanye mtihani wake waa leseni ambayo ni 150,000/=

Utaratibu huu umeeanza mwaka huu na unachochewa sana kwa wakuu wa vyuo bila ufafanuzi rasm kutoka katika website Yao ya TNMCIS

Jamani wizara husika msaidir vijana pesa ni ngumu sana hizi pesa za kutaka coupon mbona miaka ya nyuma haikuepo watoe 150,000 ya mtihani bado tena na 30,000? Mbona miaka ya nyuma walikuwa wanafanya bila kulipia hiyo pesa? Watu hawana mikopo hali ngumu ya maisha

Nini hasa kipya cha kufanya hivyo ?
Nikweli kabisa naunga hoja. Fedha wanazotiza ni nyingi mnooo, kikubwa wawahurumie watanzania hawa ambao ni masikinii. Mfano, mwanafunzi alipie mtihani wa wizara kwa 150000, halafu atozwe nyingine laki moja na elfu hamsini, halafu wanamwongezea kulipa elfu 30000 ya kupewa cuponi ya namba, na huku huyo unayemuomba garama hizi ni mtoto wa masikini ambaye hana ajira wala pakujishikiza. Kwakweli naomba serikali yangu ya mama Samia ambayo ni sikivu kupita serikali zote walitizame hilii. Yaaani ni kero kabisaa
 
Imefika hatua kila taasisi inatengeneza namna ya upigaji wa pesa sababu wahusika wanaotetea haya maswala wapo kimya

Mtaani ni pagumu sana kama hauna kazi ya kukuingizia kipato
Tunaokaa ofisini tukisubiri mishahara wenzetu pesa hiyo wanaipata kwa tabu tusijisahau kuwalipisha na kuongeza gharama vijana wetu umasikini wa watanzania unafahamika wengi wenu mmetokea maisha hayo pia

Kuna haja gani kumlipisha gharama nyingine ili umpe coupon na bado tena atoe na hela nyingine ya mtihani.. yaani ni kama ulipie nauli upewe ticket kisha ulipe tena na gharama yakununua mafuta ya basi..

@wizara ya afya
 
TNMC kulipisha wanachuo 30000 ili waapewe coupon za kufanyia mtihani na bado tena mwanafunzi analipishwa 150,000 kufanya mtihani.. Hili ni Janga upigaji kila Kona

Baraza la wauguzi na wakunga TNMCS imeendelea kutuma taarifa za kuzisambaza kwa wakuu wa chuo kimya kimya ikiwataka wanachuo wanaotegemea kufanya mitihani Yao ya leseni kuanzia Desemba hii yaani 2023 kuhakikisha wanalipia 30000 ili waweze kupata coupon ya kufanyia mtihani kutoka chuoni , nje na pesa ambayo inabidi tena mwanachuo ailipie. Ili afanye mtihani wake waa leseni ambayo ni 150,000/=

Utaratibu huu umeeanza mwaka huu na unachochewa sana kwa wakuu wa vyuo bila ufafanuzi rasm kutoka katika website Yao ya TNMCIS

Jamani wizara husika msaidir vijana pesa ni ngumu sana hizi pesa za kutaka coupon mbona miaka ya nyuma haikuepo watoe 150,000 ya mtihani bado tena na 30,000? Mbona miaka ya nyuma walikuwa wanafanya bila kulipia hiyo pesa? Watu hawana mikopo hali ngumu ya maisha

Nini hasa kipya cha kufanya hivyo ?
Ni kweli kabisa pitia pia huu uzi umezungumzia hilo
 
Back
Top Bottom