TLS bila Kiongozi mpaka lini?

TLS bila Kiongozi mpaka lini?

Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?

Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Si bure...una lako jambo,
 
Kiongozi wake sio mgonjwa, alijeruhiwa na wenye nia mbaya! Au ndio hao wenye kuhitaji nafasi yake itangazwe kuwa wazi ili waichukue?
Katiba ya TLS ilitayarishwa na wasomi si wanasiasa kama ya ccm....hilo halipo ataongoza makamu mpaka rais wake atakapoingia ofisini..
 
Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?

Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika au inakuwaje?
FB_IMG_1505720080131.jpg
 
Kati ya watu ambao siwapendi hapa JF ni pamoja na haka ka Dada! Huwa kanatoa pointi utafikri kamefunikwa maku kichwani!
 
Kati ya watu ambao siwapendi hapa JF ni pamoja na haka ka Dada! Huwa kanatoa pointi utafikri kamefunikwa maku kichwani!
namchukia kuliko kimba la kitimoto huwa akili hana anajifanyaga kuandika mambo ya nje ya nchi ya kukopy na kupaste huku kichwani akiwa mweupee kwanza ngoja nimuweke kwenye group ya watu nawaignore akaungane na kina cocochanel huko
 
Kwanza nashanga kwanini...[HASHTAG]#mods[/HASHTAG] hawahakupiga ban,Kwa ule uzi wako ukifurahia lissu kushambuliwa..
Mods wa jf acheni upendeleoo mnamuendekeza sana Huyu member katili

Ova
 
KUMBE MLIMWUA ILI MPANDIKZE WA KWENU. LOH.

NIKUKUMBUSHE KIKWETE ALITIBIWA ZAID YA MWEZ TEZ DUME
 
Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?

Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika au inakuwaje?

Kumbe ndilo lilikuwa moja ya lengo lenu, la kumpiga lisu? Imekula kwenu. Aliyetoa wazo, aliyeratibu, aliyetekeleza, walioshangilia na kufurahia mpango wa kumuua lisu na wanaotaka kwa mpango huo wa mauaji yake adhoofike aisfanye kazi za Watanzania ipasavyo ili wanufaike binafsi, jiandaeni. Hata shetani mnayemwabudu hana ubavu wa kuwaokoa na zari linalowajilia upesi!. Mbweha ninyi!
 
Back
Top Bottom