hoyoooooooooooooooooo apone agomee tumpe kura za ndioooooooooo mzalendo pekee shujaa pekee historia imeandikwaALIYEPITA mlisema alisafiri sana nje ya nchi mara tezi dume, mara kuomba msaada,mara kuuza sura, mbona hamkutaka tuchague mwingine???
Kwenye hili tena mi naliita SHAMBULIO LA AIBU ndio mnamuhesabia siku MR LISSU???
NI BORA MUHESABU SIKU NGAPI KABLA HAJAWA RAIS WA JMT.....
Hiyo ndio imeshakwenda. Tundu Lisu kwa sasa ni mahututi hadi muhula wake uishe.Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Kisomo kitakuwa kilianza kumpata yeye.huyu kunasiku aliandika koment kuwa LISSU si wa kurudi leo wala kesho nikamshangaa sana





Ewe Mwenyezi Mungu muumba mbingu na dunia shusha pigo takatifu kwa kiumbe huyu ili ajifunze kwamba Mungu hadhiakiwi.Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Kasome katiba ya TLSKatiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Ukamshangaaje mkuu si alisema ukweli? Kwani kamanda wetu Lissu uonavyo ww ni wa kurejea ktk mapambano siku za usoni?huyu kunasiku aliandika koment kuwa LISSU si wa kurudi leo wala kesho nikamshangaa sana
Hapo ndio dozi ya albadir imeanza hadi mwaka unaisha mtajitaja kwa majina na kusagamenoKatiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Basi fanyeni sherehe maana lengo lenu so limetimiaHiyo ndio imeshakwenda. Tundu Lisu kwa sasa ni mahututi hadi muhula wake uishe.
Katiba inasema hata kiongozi akishindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya hata kama ni miaka 100 ataendelea kuwa kiongozi..nadhani nimeshakujibuKatiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Hapo sasa, kama vile maisha hayaendelei! TLS ishakuwa tawi la...Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya? Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?