TLS bila Kiongozi mpaka lini?

TLS bila Kiongozi mpaka lini?

Kati ya watu ambao siwapendi hapa JF ni pamoja na haka ka Dada! Huwa kanatoa pointi utafikri kamefunikwa maku kichwani!
Kumbe ni mdada acha nimbashie anipe papa ila katakua katamu haka lumumba wanakafaidi sana
ce4858b16554a82647770c9cd4eaf785.jpg


Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?

Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika au inakuwaje?
KUMBE MLITAKA KUMUUA ILI MUITISHE UCHAGUZI UPYA MUWEKE MTU WENU
 
Back
Top Bottom