Titizo la kuisha chaji mapema

Titizo la kuisha chaji mapema

mkuu hizi flagship zina nguvu sana, na zinakula chaji sana, wewe unataka nini? simu inayokaa na chaji? punguza nguvu ya simu automatic itakaa na chaji.

-nenda setting kaeke battery server on
-nenda setting then battery angalia apps zinazokula sana charge zitoe au disable kama hazina kazi
-eka app ya greenify ku hibernate app sumbufu
-mara kwa mara close app usizotumia kwa kubonyeza button ya chini kushoto inayoonesha app ulizofungua bila kuzifunga
Greenify ni mkombozi chief
 
mkuu hizi flagship zina nguvu sana, na zinakula chaji sana, wewe unataka nini? simu inayokaa na chaji? punguza nguvu ya simu automatic itakaa na chaji.

-nenda setting kaeke battery server on
-nenda setting then battery angalia apps zinazokula sana charge zitoe au disable kama hazina kazi
-eka app ya greenify ku hibernate app sumbufu
-mara kwa mara close app usizotumia kwa kubonyeza button ya chini kushoto inayoonesha app ulizofungua bila kuzifunga
Shukran mkuu ntarud na feedback
 
hio issue ya kuchelewa kujaa ni Tatizo la charger, ingia playstore search app inaitwa ampere, chaji simu then fungua hio app itakuonesha kiasi cha umeme kinachoingia. nisomee hizo namba au weka screenshot.
2293cdcb1c76b2d1de0aa113185aaf5e.jpg
 
Yeah mkuu, hapo umenena vema, kimfano hata hii jf ukiitumia kwenye dark mode huwa chaji haisumbui, watu wengi wqnatumia display vibaya, unakuta mwanga wa dsply utadhani mtu kawasha tochi! Vibration kwenye touch pad na notifications! Na kingine kikubwa kuna app nyingine ambazo kwa wakati flan huhitaji kuzitumia lakini zipo kwenye cm na zinakula chaji, nenda setting, Disable app yeyote unayoona kwa muda flan hauhitaji kuitumia betri yako itaishi vzr. Mimi huwa sizimi data na ninatumia sim kuamzia asubui mpaka ninapoenda kulala mida ya 5 au 6 usiku"
Mkuu unatumia simu gani tuanzie hapo kwanza
 
kwa simu aina ya samsung ni kawaida tu kuwai kuisha chaji hasa pale betri linapoaza kupoteza uhalisia wake wa awali.
cha kufanya ujaribu kubadilisha betri nyengine na kama bado inaleta shida basi itakua ni tecnical issue
 
Mkuu asante kwa misaada unayotupatia sisi wadau wako jana uliniambia nieke screen shot ya battery usage ilionyesha 1day 9hour na dakika 35 ndio battery ilikuwa fully charged iyo ilimaanisha siku moja na masaa 9 yaliyopita ndio battery ilikuwa fully charged inamaana masaa yalioendelea haikuwa fully charged ukiangalia vizur nisawa na siku mbili simu haikuwa fully charged jana nimeiweka kwenye charge since saa nne na dk 35 usiku hadi kufika saa 12 na dk 14 asubuhi charge ilifika asilimia 46 (46%)
Na akati kipindi cha nyuma nilikuwa na charge ndani ya masaa mawili tu done.

#chief_mkwawa
Jaribu kutumia chaja yenye output ya kuanzia 2 na kuendelea.
 
Wakuu tecno wameleta betri zinazodumu kwa siku kadhaa bila kuchajiwa na hazichajiwi kwa umeme wa tanesco wala solar Bali zinaanikwa juani kwa masaa mawili tafuta hizo...
 
Wakuu tecno wameleta betri zinazodumu kwa siku kadhaa bila kuchajiwa na hazichajiwi kwa umeme wa tanesco wala solar Bali zinaanikwa juani kwa masaa mawili tafuta hizo...
Kwa simu zote au simu za tecno tu?
 
Wakuu tecno wameleta betri zinazodumu kwa siku kadhaa bila kuchajiwa na hazichajiwi kwa umeme wa tanesco wala solar Bali zinaanikwa juani kwa masaa mawili tafuta hizo...
Embu ipige picha tuione sio unaongea porojo apa
 
mkuu chief mkwawa shukrani sana nimejaribu kuweka theme nyeusi kama ulivyonambia naona saiv mambo yapo vizur nashukuru kwa ushauri wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom