hamna simu kama hio, labda concept tunauliza nitapata wapi nokia android 8 hapa bongo
hapana tecno na mimi hatufanani.Mkuu hamia tecno L9 inazinduliwa hukoo
bado mpaka mwezi wa 5 hivi ndio zitaanza kutokanimeona kwenye blog flani nokia 3,5, na 6 je hizi bongo hazipatikani maana wameandika tzs laki 4 na kitu
Hahaaa basi hilo tatzo kubaliana nalo tu labda ununue sony, xiaom,hapana tecno na mimi hatufanani.