Hata mi napita..
Psychological pricing.
Mi mwenyewe mgeni
Sarafu ya moja (kwetu shilingi moja) huwa haifutwi.
Kwa hapa kwetu ni kuwa haitumiki katika mzunguko wa pesa (acha mizunguko ya kielekronic) kutokana na kuporomoka kwa thamani yake, kwani kuitumia ni kubeba mzigo usi na lazima ndiyo maana zimeondolewa kwenye mzunguko.
Kuhusu hiyi Tisa tisini na tisa, ni matokeo ya kuitafsiri hela yetu kutoka kwenye USD.
Hutaipata mkononi ila kama unafanya electronic transaction unaweza kuipata kwenye account yako.
mambo bebs nimeamua kupita mapeema leo.aiseee sikulijua hili,ahsante mkuu!
mambo bebs nimeamua kupita mapeema leo.
Here i am at your servicei miss you hon,please come to me.
yani baby as days go by i love you more and more.Here i am at your service
Hizo ni mbwembwe za kibiashara tuuu.. Unajiongeza na hako kamoja unapata kitu kamili..
N:B KAMA WEWE MTATA UNAWAPA 150,000 THEN UNAWAKOMALIA WAKUPE CHANGE YAKO