Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #101
Hee na post ya tisini na tisa nimepost mimi dah
Heee sasa km wangu hajapatikana hadi sasa ntafanyaje?mbona unaiandama ndoa yangu hivi?
Heee sasa km wangu hajapatikana hadi sasa ntafanyaje?
Bora tukose wote.....
Hivi hujamuona kabisa leo?
Akirudi amelewa hata shughuli hawezi tena uje kwangu eeehatarudi tu,najua anajipooza na pombe kidogo wewe sasa na roho mbaya yako...
Akirudi amelewa hata shughuli hawezi tena uje kwangu eeeh
Hahahahaaa natania tu ni maneno ua Klorokwini kabla hajaenda kulala....khaaa ni wewe mdogo wangu ricky au?kweli umetoswa!
Hahaha! nimecheka mpaka kidogo nianguke kwenye kiti,asante Erick ntakulipia kiburudisho Ambiance ijumaa kwa jinsi ulivyonifurahisha lol!Heee sasa km wangu hajapatikana hadi sasa ntafanyaje?
Bora tukose wote.....
Hivi hujamuona kabisa leo?
Hahahaaaaa sawa aiseeeHahaha! nimecheka mpaka kidogo nianguke kwenye kiti,asante Erick ntakulipia kiburudisha Ambiance ijumaa kwa jinsi ulivyonifurahisha lol!
Hahaha! nimecheka mpaka kidogo nianguke kwenye kiti,asante Erick ntakulipia kiburudisha Ambiance ijumaa kwa jinsi ulivyonifurahisha lol!
Hahahahaaa natania tu ni maneno ua Klorokwini kabla hajaenda kulala....
Hahahaaaaa sawa aiseee
Nshaanza kusinzia....
See you...maana huwa sichelewi kulala na simu yangu mkononi!
Wala isikusumbue na kichwa kisikuume , kuitafuta hiyo mi9.
Mi9 yote hiyo ni mbwebwe na manjonjo ya biashara , hapo maana yake price ni kilo na nusu tu. Ama 149.500/- si vinginevyo .
Hebu njoo chumbani na ujue mama yangu mkurya lol!baby umeona kuwa ricky hana nia njema na sisi eeh?
Acha ukali kwa mkeoHebu njoo chumbani na ujue mama yangu mkurya lol!
Hebu njoo chumbani na ujue mama yangu mkurya lol!
Acha ukali kwa mkeo
Hiyo ilikuwa chabo ..
Pyaaa
Napita..