Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
We jipe moyo....alikuwa hapo kwa mama jane ananinunulia filigisi,hes holding me right now
Kwanza naleta udhahidi toka thread ya Mwali unavyomta klorikwini.....
We jipe moyo....alikuwa hapo kwa mama jane ananinunulia filigisi,hes holding me right now
We ngoja utaona
hehehe nipo nsharudi chuga bibie
We jipe moyo....
Kwanza naleta udhahidi toka thread ya Mwali unavyomta klorikwini.....
Usile pekee yako mshirika nitafute
Heeeee@kaby nimependa unavyompa Erick vidonge vyake manake amezidi uzushi.
@ Erick husband kapumzika kidogo, anasema kama umeleta ile hela alokukopesha mpe kaby.
Heeeee
Hela yenyewe jero....lol
kudhalilishana sitaki
Ishia hapohapo labda unamuongelea mtu mwengine huyu Kaba hana tabia hizo unazosisema hapa,thubutu eti umfanye kitu ? dogo angalia tu usifanywe wewe kitu lol!
Kuhusu small hausi ukiwa na mtu kama Kaba huwezi waza mambo hayo maana she is the complete package,kama una mawazo ya small hausi ujue mahusiano yenu na mwenza wako yana mapungufu.
Enheeeeesshh hapo hapo ntakupa ile niliyokuahidi please stop there,
niambie uliahidi pipi kwa dogo,right ?sshh hapo hapo ntakupa ile niliyokuahidi please stop there,
Enheeeee
Uporoto umeona???
Anataka kunihonga nanii. ..
Sidanganyikii......
niambie uliahidi pipi kwa dogo,right ?
Pheeew! afadhali,nilitaka kupata heart attack.wala baby kuna picha za ngono nilizifuma lakini sijamwambia amy ndo anataka nimrudishie,
niambie uliahidi pipi kwa dogo,right ?
wala baby kuna picha za ngono nilizifuma lakini sijamwambia amy ndo anataka nimrudishie,
Pheeew! afadhali,nilitaka kupata heart attack.
Pheeew! afadhali,nilitaka kupata heart attack.
Pipiiiii??/?
Ulizifuma kabatini chumbani kwangu...ulikifikaje???
Picha nilizificha mbali....jisemee
Unajipa moyo eeh