Sawa Mkuu nitashukuru sana
Habari wadau!
Tafadhali mwenye kujua dawa au suluhisho la mdudu mende tafadhali naomba anisaidie maana kila kukicha mende ndani wanaongezeka licha ya kupiga dawa kila mara ukiwa na moyo mdogo unaweza hisi wametumwa. Viko vijimende vidogovidogo na mibaba yao yaani ndani hakuna amani tena.
Nimegundua siko peke yangu wengi tunapata shida hiyo.
Tafadhali msaada.
Pole sana mkuu. Kuna nyumba nilikuwa naishi ilikuwa na mende wengi balaa ila nilipata dawa moja hiv ya unga ni nzuri sana coz nilipohama nao nilihama nao wengi huwa wanajificha kwenye meza hada za jikoni. Ni dawa ya unga unga inaua had mayai. Tafuta ipo kwa wauza sumu za panyaHabari wadau!
Tafadhali mwenye kujua dawa au suluhisho la mdudu mende tafadhali naomba anisaidie maana kila kukicha mende ndani wanaongezeka licha ya kupiga dawa kila mara ukiwa na moyo mdogo unaweza hisi wametumwa. Viko vijimende vidogovidogo na mibaba yao yaani ndani hakuna amani tena.
Nimegundua siko peke yangu wengi tunapata shida hiyo.
Tafadhali msaada.


I can imagine.... Haipendezi kabisa.... Hao wanaojipanga kama maua.... Waweza sema wametumwa .....Nishatumia hiyo mkuu naishia kukutana nao tu. Kama ukizima taa dakika mbili tu ukaweka mfano kitambaa cheupe kwenye kochi ukijawasha utadhani maua..dooo! Hatare tu.
Kwako mtoa mada. Hili ndio jibu la tatizo lako. HiT ndio kiboko ya mende. Pulizia jioni moja tu kesho yake utaniambia.Puliza HIT ni dawa ya mbu. Inaua Kila kitu. Puliza Sasa kila sehemu uvunguni kwenye Kochi, kabati n.k baada ya nusu saa lete marejesho.
Hit ni kiboko ya mende mkuu hakuna mende anayesurvive mbele ya HiTTumia dawa zinazo tengenezwa mtaa,zinauwa vzr sana kikiko rungu,hit nk.
Hakuna kitu kama hicho labda iwe sababu kidogo, mji kama moro usiombe hakuna choo cha ndani wala nini wakati nahama wote walipoteaWanasababishwa na vyoo vya ndani.
Acha kupika, watakosa msosi wahame, usiwe chakula chochote.Habari wadau!
Tafadhali mwenye kujua dawa au suluhisho la mdudu mende tafadhali naomba anisaidie maana kila kukicha mende ndani wanaongezeka licha ya kupiga dawa kila mara ukiwa na moyo mdogo unaweza hisi wametumwa. Viko vijimende vidogovidogo na mibaba yao yaani ndani hakuna amani tena.
Nimegundua siko peke yangu wengi tunapata shida hiyo.
Tafadhali msaada.
sawa mkuutumia ngao dawa ya mbu koroga maji chupa mbili kwenye beseni halafu chukua fagio nyunyizia maji yenye ngao maeneo yao utaona wanakufa wengi halafu wanatoka mafichoni wenyewe wanakufa tu