SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,407
Habari wadau!
Tafadhali mwenye kujua dawa au suluhisho la mdudu mende tafadhali naomba anisaidie maana kila kukicha mende ndani wanaongezeka licha ya kupiga dawa kila mara ukiwa na moyo mdogo unaweza hisi wametumwa. Viko vijimende vidogovidogo na mibaba yao yaani ndani hakuna amani tena.
Nimegundua siko peke yangu wengi tunapata shida hiyo.
Tafadhali msaada.
Wewe utakua wale watu wachafu unajaza makorokoro ndani .. dawa ya Mende toa matakataka yote piga dawa zile za wadudu then fanya usafi utakaa utasahau mamende