Tips za kuzingatia wakati unanunua computer mpya

Maana YAKE NINI hii post???
Kichwa cha habari Kiswahili halafu maelezo kiingereza this means umecopy na kupaste (nami nimekitumia hapa kuonesha kuwa nakifahamu) HOJA ya Msingi hapa ni kuwa, Kama ulikuwa na nia ya kuwasaidia Watanzania kwanini usitafsiri kwenda ktk Lugha ya Taifa , unadhani watu wanaokifahamu kiingereza hawawezi kutafuta kwenye google? Nimekuwa nakuangalia na mipost yako mirefu ambayo haina msaada wowote na ni kero tupu. Jirekebishe!
 
Maana YAKE NINI hii post???
Kichwa cha habari Kiswahili halafu maelezo kiingereza this means umecopy na kupaste (nami nimekitumia hapa kuonesha kuwa nakifahamu) HOJA ya Msingi hapa ni kuwa, Kama ulikuwa na nia ya kuwasaidia Watanzania kwanini usitafsiri kwenda ktk Lugha ya Taifa , unadhani watu wanaokifahamu kiingereza hawawezi kutafuta kwenye google? Nimekuwa nakuangalia na mipost yako mirefu ambayo haina msaada wowote na ni kero tupu. Jirekebishe!
wewe mwenyewe mbona unachanganya lugha hapa?
binafsi naamini kila mtanzania anayefungua hapa hatashindwa kusoma na kuelewa
 
Maana YAKE NINI hii post???
Kichwa cha habari Kiswahili halafu maelezo kiingereza this means umecopy na kupaste (nami nimekitumia hapa kuonesha kuwa nakifahamu) HOJA ya Msingi hapa ni kuwa, Kama ulikuwa na nia ya kuwasaidia Watanzania kwanini usitafsiri kwenda ktk Lugha ya Taifa , unadhani watu wanaokifahamu kiingereza hawawezi kutafuta kwenye google? Nimekuwa nakuangalia na mipost yako mirefu ambayo haina msaada wowote na ni kero tupu. Jirekebishe!

Bro hata kama amecopy na kupaste but atleast amewapa knowledge watanzania wanaofahamu english, lakini ingekuwa powah zaidi kama angeandika kiswahili, we should provide thanks for what he did
 
Maana YAKE NINI hii post???
Kichwa cha habari Kiswahili halafu maelezo kiingereza this means umecopy na kupaste (nami nimekitumia hapa kuonesha kuwa nakifahamu) HOJA ya Msingi hapa ni kuwa, Kama ulikuwa na nia ya kuwasaidia Watanzania kwanini usitafsiri kwenda ktk Lugha ya Taifa , unadhani watu wanaokifahamu kiingereza hawawezi kutafuta kwenye google? Nimekuwa nakuangalia na mipost yako mirefu ambayo haina msaada wowote na ni kero tupu. Jirekebishe!
Kosa lake ni nini sasa? watu wengine huwa mnaandika hapa jf mkiwa kwenye influence ya viroba, si kila ukiwa huna la kuandika ni lazima uandike kitu. kudadadeki.
 
wewe mwenyewe mbona unachanganya lugha hapa?
binafsi naamini kila mtanzania anayefungua hapa hatashindwa kusoma na kuelewa
Pengine hukusoma Post yangu hadi mwisho ,ungejua kwa nn nimetumia kiingereza. Mantiki yangu ni kuwa tunahitaji kuwasaidia WATANZANIA halisi wanaojitahidi kuingia katika ulimwengu huu ambao wengi hawajui kiingereza wala maneno yenye lugha ya kikompyuta. Wengi wanaofahamu kiingereza tayari wanajua kutumia komputa na pengine wanazo tayari. Hivo unapomuandaa mtu kununua kompyuta, ni lazima umuandikie kwa lugha eleweka na siyo kunyofoa kwenye mitandao ukanandika hapa. Sishangai kuwa mara nyingi ni wewe pekee unayezipenda post za huyu bwanamdogo! Tunahitaji kuisogeza Tanzania karibu na ulimwengu wa mawasiliano kwa mtandao kwa kuwasaidia 'watanzania'.
 
Bro hata kama amecopy na kupaste but atleast amewapa knowledge watanzania wanaofahamu english, lakini ingekuwa powah zaidi kama angeandika kiswahili, we should provide thanks for what he did

You want me to give thanks for Copy & Paste without giving credit to the Original website? Do you know the meaning of Plagiarism? The Provided Link is for purchases 'suggestion to get an idea of pricing and what's currently available OR this is one of the sites that we use to look at pricing for all our PC purchases . Neither did he/she provide a link where he stole the technical Details nor did he/she appreciate the author "PC Buying Guide - Budget PC System'' Thats Purely Plagiarism! And you wanna me give THANKS????

Nimeandika Kiingereza kwa kuwa sasa nawajibu wanaokifahamu!.Mimi naandika pia mambo mengi kwenye Internet lakini pale ninapotumia kazi ya mtu lazima nitambue mchango wake lakini si hii ya kunyofoa kazi za watu unapachika hapa halafu watu wasiojua wanakupa 'likes' unajisifu.
Kimsingi sina nia ya MALUMBANO ila hoja yangu ni:
  1. Kama una lengo la kuwasaidia watanzania basi waandikie kwa lugha inayoeleweka na wengi, hapo hata mm nitakupa 'like'
  2. Kama unatumia taarifa toka katika tovuti,kitabu au Jarida, hebu mtambue mwandishi ili siku moja usije kusitakiwa kwa mambo ya haki za uandishi
  3. Naamini kama wewe una busara na uelewa hutailichukulia andiko hili kwa ubinafsi bali kama sehemu ya kujifunzia kwa kuwa bado una safari ndefu mbele yako!
 
You want me to give thanks for Copy & Paste without giving credit to the Original website? Do you know the meaning of Plagiarism? The Provided Link is for purchases 'suggestion to get an idea of pricing and what's currently available OR this is one of the sites that we use to look at pricing for all our PC purchases . Neither did he/she provide a link where he stole the technical Details nor did he/she appreciate the author "PC Buying Guide - Budget PC System'' Thats Purely Plagiarism! And you wanna me give THANKS????

Nimeandika Kiingereza kwa kuwa sasa nawajibu wanaokifahamu!.Mimi naandika pia mambo mengi kwenye Internet lakini pale ninapotumia kazi ya mtu lazima nitambue mchango wake lakini si hii ya kunyofoa kazi za watu unapachika hapa halafu watu wasiojua wanakupa 'likes' unajisifu.
Kimsingi sina nia ya MALUMBANO ila hoja yangu ni:
  1. Kama una lengo la kuwasaidia watanzania basi waandikie kwa lugha inayoeleweka na wengi, hapo hata mm nitakupa 'like'
  2. Kama unatumia taarifa toka katika tovuti,kitabu au Jarida, hebu mtambue mwandishi ili siku moja usije kusitakiwa kwa mambo ya haki za uandishi
  3. Naamini kama wewe una busara na uelewa hutailichukulia andiko hili kwa ubinafsi bali kama sehemu ya kujifunzia kwa kuwa bado una safari ndefu mbele yako!
Ulitakiwa umuandikie kwa kumuelimisha sio kumuandikia kihuni kama ulivyoandika mwanzoni.
Hata hivyo haina haja yuu yaa kusumbuka kuweka aliyeasisi makala maana hata hivyo shida hapa ni elimu tu. Yule aliyeweka hapa alijua kila mtu ataisoma na hakuwa na shida kwamba tumfahamu.
Internet ina resources nyingi sana za kila hoja. Wewe kama una muda wote huo wa kuandika author wa makala ni juu yako wengine hawana muda huo. Shida yetu ni kwamba paka kashika panya. Wala shida si paka wa rangi gani.
Siku nyingine angalia usiandike mambo kihuni kama ulivyoandika mwanzoni.
 
Ulitakiwa umuandikie kwa kumuelimisha sio kumuandikia kihuni kama ulivyoandika mwanzoni.
Hata hivyo haina haja yuu yaa kusumbuka kuweka aliyeasisi makala maana hata hivyo shida hapa ni elimu tu. Yule aliyeweka hapa alijua kila mtu ataisoma na hakuwa na shida kwamba tumfahamu.
Internet ina resources nyingi sana za kila hoja. Wewe kama una muda wote huo wa kuandika author wa makala ni juu yako wengine hawana muda huo. Shida yetu ni kwamba paka kashika panya. Wala shida si paka wa rangi gani.
Siku nyingine angalia usiandike mambo kihuni kama ulivyoandika mwanzoni.

Kijana unafahamu maana ya Intellectual Property rights? Kama huijui tafuta maana yake halafu rudia kusoma post yako
 
Maana YAKE NINI hii post???
Kichwa cha habari Kiswahili halafu maelezo kiingereza this means umecopy na kupaste (nami nimekitumia hapa kuonesha kuwa nakifahamu) HOJA ya Msingi hapa ni kuwa, Kama ulikuwa na nia ya kuwasaidia Watanzania kwanini usitafsiri kwenda ktk Lugha ya Taifa , unadhani watu wanaokifahamu kiingereza hawawezi kutafuta kwenye google? Nimekuwa nakuangalia na mipost yako mirefu ambayo haina msaada wowote na ni kero tupu. Jirekebishe!
Hizo specs zimeandikwa kwa kiingereza kaka kutafsri kutoka kiingereza sio kazi rahisi kama unavyozania,lakini pia hata wewe unaweza kutusaidia kaka badala ya kulaumu tu hebu tafsiri basi kutoka hicho kiingereza kwenda kiswahili hapo utakuwa umetusaidia,au ndio mwendelezo ule ule wa watanzania wa kulalamika bila kutoa ufumbuzi wa tatizo,wengine hatuna muda wa ku google
 
Hii ni review ya mwaka gani kwanza? Usije ukawa umechukua review ya mwaka 2009 unaileta mwaka 2011. Sasa hivi kuna intel core i3, i5, i7
 
ameandika mengi mno,sie ma leyman hatutaelewa!put it simple!mfano laptop basc iweje,mfano Ram 3GB,processor intel duo processor etc.sio unatushushia nondo,haya madude hata niki google nayapata!
 
You want me to give thanks for Copy & Paste without giving credit to the Original website? Do you know the meaning of Plagiarism? The Provided Link is for purchases 'suggestion to get an idea of pricing and what’s currently available OR this is one of the sites that we use to look at pricing for all our PC purchases . Neither did he/she provide a link where he stole the technical Details nor did he/she appreciate the author "PC Buying Guide - Budget PC System'' Thats Purely Plagiarism! And you wanna me give THANKS????

Nimeandika Kiingereza kwa kuwa sasa nawajibu wanaokifahamu!.Mimi naandika pia mambo mengi kwenye Internet lakini pale ninapotumia kazi ya mtu lazima nitambue mchango wake lakini si hii ya kunyofoa kazi za watu unapachika hapa halafu watu wasiojua wanakupa 'likes' unajisifu.
Kimsingi sina nia ya MALUMBANO ila hoja yangu ni:
  1. Kama una lengo la kuwasaidia watanzania basi waandikie kwa lugha inayoeleweka na wengi, hapo hata mm nitakupa 'like'
  2. Kama unatumia taarifa toka katika tovuti,kitabu au Jarida, hebu mtambue mwandishi ili siku moja usije kusitakiwa kwa mambo ya haki za uandishi
  3. Naamini kama wewe una busara na uelewa hutailichukulia andiko hili kwa ubinafsi bali kama sehemu ya kujifunzia kwa kuwa bado una safari ndefu mbele yako!
wewe mwenyewe mbona kiingereza hakijanyooka', hapo kwenye Red unamaanisha nini? wewe utakuwa hujasoma shule wewe au umepiga kozi fupi fupi za kubrashi reputation, au ni wale wasanii mnaoshindwa kuweka copy-write kazi zenu mnaibiwa na bado hamkomi',,wa2ru2mbi watu wa vu..i!hatakama mwenye hii thread amecopy mahali maujanaja kwenye internet lakini imesaidia watu kibao nikiwemo mimi!! ingekuwa vigumu sana kufahamu kama search ingines ina vitu kama hivyo so usijifanye wa kujua sana, kama hajaguswa lipuka sio lazima kuComment!
 
Back
Top Bottom