Tanzania inatia aibu katika medani za Tehama, tumekosa hata special school moja ya kuwapiga tafu watoto kwenye elimu ya computer ?

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
1681671186709.jpeg


Haya ni majanga, sina uhakika ila ikibidi mnisahishe ila niliwahi kuona nchi kama Kenya hapo hizo shule zipo, Huko Rwanda wapo next levels wala si wa kucompare nao.

Hivi katika ulimwengu huu ambao tunazidi kujionea jinsi mifumo ya computers inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya uchumi, biashara, government administration, private life, n.k. inaingia akilini kweli kwamba tunakosa hata shule maalum hata moja tu ya kuwaandaa watoto wenye vipaji vya hivi vitu ama interest na bidii ya kujifunza ?

Kama sio kutengeneza utegemezi mpya kwa maksudi kabisa ni nini hiki ?

Huwa hatuoni aibu watu kuanza kujifunza haya mambo mpaka wafike vyuoni tayari washaanza kunyoa ndevu ?

Nimeona kuna kombi ya computer ya PMC lakini niliwahi kuifatilia nikaaona bado sana, ni mara kumi tu hata mtu aende chuoni aanzie certificate maana huko shuleni hampo huru kutumia laptops, somo la computer ni moja tu, waakim wanaofundisha nao ni stress tu, n.k. na hapo bado wanaoenda kusoma ni wale ammbao wapo kwenye kingo za late teenage ages (17 - 19)

Ingependeza kuwe na shule ya kuanzia form 1 iwe maalum kwajili ya mambo ya computer zaidi.... masomo kama biology na history yanawekwa pembeni huko yanafidiwa na masomo mengine ya computer, kuwe na computer labs ambazo mda wote zipo wazi, kuwe na unlimited internet yenye speed kali, watoto wawe wanakwenda kwenye mashindano yoyte kama yapo, n.k.

Rais Samia nae nilisikia anapita pita humu ila nae sijui kama anagusa hili jukwaa, Mama unaupiga mwingi sana ila jaribu pia kuupiga kwenye ulimwengu huu ambao mambo ya Tehama yamekuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, piga na huku nasi tusiwe wategemezi kupita kiasi kwenye vitu hivi vinavyoibadili dunia,
 
Sio tehama tu. Tunapwaya vitu vingi

Jirani zetu kwenya elimu yao ya msingi na sekondari ina offer kila kitu.

Shule zote zinashiriki mashindano ya music contest

Shule zote zinashiriki mashindano ya mathematics contest.

Shule zote zinashiriki mashindano ya sports

Shule zote zinashiriki mashindano ya mambo ya sayansi.


Pia duniani kuna mashindano makubwa ya hisabati wanaita mathematics contest.

Kenya kila mwaka wanapeleka wawakilishi kwa utaratibu maalumu wa kushirikisha shule zote zishindane kwanza ndani. Kisha bingwa ndie anaenda kuwakilisha taifa la kenya kwenye hayo mashindano ya dunia.

Tanzania tumekomaa na ku pass necta tu kwa division 1
 
English
Mathematics
Kiswahili
Geography
History
English literature
Chemistry
Physics
Biology.

Yasome mara tatu hayo masomo.
Compare umuhimu wake.
Why computer studies?, kwa msingi wa elimu ya bongo.
Soma tena hayo masomo. Alafu useme. Ona yalivyo mazito. Tumefanywa kuona uzito upo hapo. Na ni mazito kweli kweli. Na muhimu sana bongo.
 
Sio tehama tu. Tunapwaya vitu vingi
Ila kwa hali ya sasa ilivyo suala la Tehama lipo kwenye vitu top kabisa ambavyo vinaenda kuitawala dunia, tukiwa washamba na huku tutateseka mno!! Niliwahi sikia tetesi kwamba nchi fulani wao wanapambana kuingia Jeshi la nchi flani (yaweza kuwa yetu) kwenye kitengo cha Tehama, kwao hicho kitengo ndio kina umhimu zaidi kuzidi hata kuwa karibu na mkuu
 
View attachment 2590366

Haya ni majanga, sina uhakika ila ikibidi mnisahishe ila niliwahi kuona nchi kama Kenya hapo hizo shule zipo, Huko Rwanda wapo next levels wala si wa kucompare nao.

Hivi katika ulimwengu huu ambao tunazidi kujionea jinsi mifumo ya computers inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya uchumi, biashara, government administration, private life, n.k. inaingia akilini kweli kwamba tunakosa hata shule maalum hata moja tu ya kuwaandaa watoto wenye vipaji vya hivi vitu ama interest na bidii ya kujifunza ?

Kama sio kutengeneza utegemezi mpya kwa maksudi kabisa ni nini hiki ?

Huwa hatuoni aibu watu kuanza kujifunza haya mambo mpaka wafike vyuoni wanyoa ndevu tayari ?

Nimeona kuna kombi ya computer ya PMC lakini niliwahi kuifatilia nikaaona bado sana, ni mara kumi tu hata mtu aende chuoni aanzie certificate maana huko shuleni hampo huru kutumia laptops, somo la computer ni moja tu, waakim wanaofundisha nao ni stress tu, n.k. na hapo bado wanaoenda kusoma ni wale ammbao wapo kwenye kingo za late teenage ages (17 - 19)

Ingependeza kuwe na shule ya kuanzia form 1 iwe maalum kwajili ya mambo ya computer zaidi.... masomo kama biology na history yanawekwa pembeni huko yanafidiwa na masomo mengine ya computer, kuwe na computer labs ambazo mda wote zipo wazi, kuwe na unlimited internet yenye speed kali, watoto wawe wanakwenda kwenye mashindano yoyte kama yapo, n.k.

Rais Samia nae nilisikia anapita pita humu ila nae sijui kama anagusa hili jukwaa, Mama unaupiga mwingi sana ila jaribu pia kuupiga kwenye ulimwengu huu ambao mambo ya Tehama yamekuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, piga na huku nasi tusiwe wategemezi kupita kiasi kwenye vitu hivi vinavyoibadili dunia,
Hamna faida ya kufanya hivyo kama watu kama Fernandez na uzalendo wao wanawekewa mazingira magumu mpaka ofisi wanaziweka kenya.
Nina wadau wamemaliza chuo wakafungua ofisi baadae wakafunga kwa kodi kubwa web master.
IT , computer scientists wanakimbilia kuajiriwa kwa sababu ya mazingira magumu ya kuanzisha startup
 
English
Mathematics
Kiswahili
Geography
History
English literature
Chemistry
Physics
Biology.

Yasome mara tatu hayo masomo.
Compare umuhimu wake.
Why computer studies?, kwa msingi wa elimu ya bongo.
Soma tena hayo masomo. Alafu useme. Ona yalivyo mazito. Tumefanywa kuona uzito upo hapo. Na ni mazito kweli kweli. Na muhimu sana bongo.
Special schools sio kama shule hizi zingine, wao baadhi ya masomo huachwa ili mwanafunzi ajikite zaidi na masomo ya hizo special schools, mfano shule za ufundi kwa wanaosomea umeme huwa hawasomi biology
 
Special schools sio kama shule hizi zingine, wao baadhi ya masomo huachwa ili mwanafunzi ajikite zaidi na masomo ya hizo special schools, mfano shule za ufundi kwa wanaosomea umeme huwa hawasomi biology
Huo ni uongo kusema special schools hawasomi biology. Siku nyingine zungumza mambo unayoyaelewa
 
Special schools sio kama shule hizi zingine, wao baadhi ya masomo huachwa ili mwanafunzi ajikite zaidi na masomo ya hizo special schools, mfano shule za ufundi kwa wanaosomea umeme huwa hawasomi biology
Sasa mtaala wetu unawapa wazazi na wanafunzi kufanya hivo.
 
Sio tehama tu. Tunapwaya vitu vingi

Jirani zetu kwenya elimu yao ya msingi na sekondari ina offer kila kitu.

Shule zote zinashiriki mashindano ya music contest

Shule zote zinashiriki mashindano ya mathematics contest.

Shule zote zinashiriki mashindano ya sports

Shule zote zinashiriki mashindano ya mambo ya sayansi.


Pia duniani kuna mashindano makubwa ya hisabati wanaita mathematics contest.

Kenya kila mwaka wanapeleka wawakilishi kwa utaratibu maalumu wa kushirikisha shule zote zishindane kwanza ndani. Kisha bingwa ndie anaenda kuwakilisha taifa la kenya kwenye hayo mashindano ya dunia.

Tanzania tumekomaa na ku pass necta tu kwa division 1
Mashindano yapi ya dunia
 
Mtoa mada hebu nambie shule gani duniani ya Serikali ambayo ina masomo special ya kada fulani tu (government owned school)

Kuna muda mnaongea mambo msiyo yaelewa
 
Mtoa mada hebu nambie shule gani duniani ya Serikali ambayo ina masomo special ya kada fulani tu (government owned school)

Kuna muda mnaongea mambo msiyo yaelewa
Soma vizuri upya na uelewe, nimesema shule special huwa zinatoa baadhi ya masomo yanayosomwa na shule za kawaida ili kupisha masomo mengine special maalum.

Mifano ni hizi shule za technical si wote wanasoma biology, geography na history

 
  • Thanks
Reactions: Cyb
English
Mathematics
Kiswahili
Geography
History
English literature
Chemistry
Physics
Biology.

Yasome mara tatu hayo masomo.
Compare umuhimu wake.
Why computer studies?, kwa msingi wa elimu ya bongo.
Soma tena hayo masomo. Alafu useme. Ona yalivyo mazito. Tumefanywa kuona uzito upo hapo. Na ni mazito kweli kweli. Na muhimu sana bongo.
Tatizo hii nchi mmewapa watu wa Pwani wao elimu na michezo mbali kabisa labda uwaambie mambo ya dini.
 
SSH Alikuja na mbwembwe oh tunajenga chuo kikubwa cha tehama nikasubiri wap,ameshashiba anacheua tu.
 
Back
Top Bottom