and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,227
- 39,713
Siasa za afrika ujanja ujanja mwingiYaani hata kama ni Siasa hii Sasa komesha. Tinubu (70) Ni Mdogo kuliko Mstaafu(72)?
Hakika hapo wamemuweka ili waibe bila Mzee Babu kugunduaSiasa za afrika ujanja ujanja mwingi
Ha ha ha hatari sanaIla President Tinubu ukiwa mpinzani wake uwe makini mana ukimuangalia unaweza ukacheka ukaambiwa umedharau mamlaka
Huyu kapungunza miaka.Yaani hata kama ni Siasa hii Sasa komesha. Tinubu (70) Ni Mdogo kuliko Mstaafu(72)?
NB: Nigerians mmetishaaa
Huyu kapungunza miaka.
ha ha ha. Zee la nyeti linasinzia tuKwa Afrika huyo bado kijana mbichi sana.Utajaza mwenyewe.
Ukikaa vibaya anaoa mtoto wa miaka 12.ha ha ha
Atazikwa amekaa kwenye Prado new model!zee linagombea kuzikwa kwa heshima
hakikaAtazikwa amekaa kwenye Prado new model!
"Naijirians" have always been very comicals!When you want to laugh,go to them!hakika
🤣🤣🤣🤣Ila President Tinubu ukiwa mpinzani wake uwe makini mana ukimuangalia unaweza ukacheka ukaambiwa umedharau mamlaka
OkayKunahaja ya kuwafahamu Kila mmoja kapitia njia ipi ,kikwete alishakili wazi kuandaliwa Kwa naijeria hali nitofauti ,mfatilie hata anayesubiria kukabidhi madaraka kapitia mengi mno......kabla sijamcheka anayesubiria kuapishwa na subiria nijifunze kitu
Ufikikie hatua tusilinganishane kitoto hivyo nisawa na Leo umchukue January uaze kusema oneni Lisu amekua president na January kachemka ,mkijua wazi Kuna watoto wanaandaliwa Toka kuzaliwa na wazurulaji ikulu mwanzo mwisho ,ila raia wameamua kumpa Lisu na lisu anahistoria zake ,kupigwa risasi kulazwa gerezani , misukosuko chunguzima inazeesha ,msukosuko Mzee wetu kikwete aliopata maishani mwake mote ni mmoja TU alivotembea Kwa mguu kilomita karibu 10 au zaidi akikimbia chuo mafuzo kijeshi monduli baada ya kurikisha aliyorikisha Kwa nyerere kuwa wazi ....unaishangaa naijeria bongo mmeonywa kitambo vjana ni TAIFA la keshoOkay