Timu yenye malengo haipeleki kikosi kabambe Mapinduzi Cup

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,313
12,613
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya mashindano ya Mapinduzi ni muhimu sana kisiasa lakini ratiba yake inaning'inia tu na malengo yake ni hadi uvae miwani kali kuyaona.

Naipongeza Yanga kupeleka kikosi kile kwenye mashindano yale yaliyozaliza majeruhi kwa Okrah, Lomalisa, na Skudu tayari ambayo haijulikani watapona lini ili wacheze ligi na caf champions. Wachezaji wa timu ndogo kwenye mashindano yoyote kama Mapinduzi huwa wanacheza kwa kukamia timu kubwa ili kuonyesha uwezo na kushawishi kusajiliwa na timu kubwa, tabia ambayo inazalisha majeraha mengi sana kwa timu na wachezaji wa timu kubwa. Mfano, mchezaji alimrukia Okrah kutoka kusikojulikana na kumuumiza vibaya bila sababu ya maana.

Ni mashindano mazuri kwa timu kubwa kupeleka wachezaji wasiopata game time kwenye ligi na machindano mengine ya TFF, CECAFA, na CAF na timu ya taifa ili kuwapasha moto lakini sio lazima kwenda kushinda kombe. Timu itakayoshiriki kombe la mapinduzi mechi zote hadi finali itarudi kwenye ligi na mashindano mengine ikiwa dhaifu sana.
 
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo...
Mnajifanya wasemaji wa Yqnga humu JF.

Watu walikuwana malengo makubwa, wewe unaleta porojo humu.

Screenshot_20240108-133159.jpg
 
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya mashindano ya Mapinduzi ni muhimu sana kisiasa lakini ratiba yake inaning'inia tu na malengo yake ni hadi uvae miwani kali kuyaona.

Naipongeza Yanga kupeleka kikosi kile kwenye mashindano yale yaliyozaliza majeruhi kwa Okrah, Lomalisa, na Skudu tayari ambayo haijulikani watapona lini ili wacheze ligi na caf champions. Wachezaji wa timu ndogo kwenye mashindano yoyote kama Mapinduzi huwa wanacheza kwa kukamia timu kubwa ili kuonyesha uwezo na kushawishi kusajiliwa na timu kubwa, tabia ambayo inazalisha majeraha mengi sana kwa timu na wachezaji wa timu kubwa. Mfano, mchezaji alimrukia Okrah kutoka kusikojulikana na kumuumiza vibaya bila sababu ya maana.

Ni mashindano mazuri kwa timu kubwa kupeleka wachezaji wasiopata game time kwenye ligi na machindano mengine ya TFF, CECAFA, na CAF na timu ya taifa ili kuwapasha moto lakini sio lazima kwenda kushinda kombe. Timu itakayoshiriki kombe la mapinduzi mechi zote hadi finali itarudi kwenye ligi na mashindano mengine ikiwa dhaifu sana.
Mlipopigwa 3-0 na CR Belozdad mlikuwa na kikosi gani? 😁😁😁😁😁😁
Utopolo bhana, sababu nyingi. Kwahiyo iliyofungwa 3-1 ni Yanga au ni timu gani na APR? 😁😁😁😁
Mgeacha kushiriki tu ikajulikana moja
 
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya mashindano ya Mapinduzi ni muhimu sana kisiasa lakini ratiba yake inaning'inia tu na malengo yake ni hadi uvae miwani kali kuyaona.

Naipongeza Yanga kupeleka kikosi kile kwenye mashindano yale yaliyozaliza majeruhi kwa Okrah, Lomalisa, na Skudu tayari ambayo haijulikani watapona lini ili wacheze ligi na caf champions. Wachezaji wa timu ndogo kwenye mashindano yoyote kama Mapinduzi huwa wanacheza kwa kukamia timu kubwa ili kuonyesha uwezo na kushawishi kusajiliwa na timu kubwa, tabia ambayo inazalisha majeraha mengi sana kwa timu na wachezaji wa timu kubwa. Mfano, mchezaji alimrukia Okrah kutoka kusikojulikana na kumuumiza vibaya bila sababu ya maana.

Ni mashindano mazuri kwa timu kubwa kupeleka wachezaji wasiopata game time kwenye ligi na machindano mengine ya TFF, CECAFA, na CAF na timu ya taifa ili kuwapasha moto lakini sio lazima kwenda kushinda kombe. Timu itakayoshiriki kombe la mapinduzi mechi zote hadi finali itarudi kwenye ligi na mashindano mengine ikl

Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya mashindano ya Mapinduzi ni muhimu sana kisiasa lakini ratiba yake inaning'inia tu na malengo yake ni hadi uvae miwani kali kuyaona.

Naipongeza Yanga kupeleka kikosi kile kwenye mashindano yale yaliyozaliza majeruhi kwa Okrah, Lomalisa, na Skudu tayari ambayo haijulikani watapona lini ili wacheze ligi na caf champions. Wachezaji wa timu ndogo kwenye mashindano yoyote kama Mapinduzi huwa wanacheza kwa kukamia timu kubwa ili kuonyesha uwezo na kushawishi kusajiliwa na timu kubwa, tabia ambayo inazalisha majeraha mengi sana kwa timu na wachezaji wa timu kubwa. Mfano, mchezaji alimrukia Okrah kutoka kusikojulikana na kumuumiza vibaya bila sababu ya maana.

Ni mashindano mazuri kwa timu kubwa kupeleka wachezaji wasiopata game time kwenye ligi na machindano mengine ya TFF, CECAFA, na CAF na timu ya taifa ili kuwapasha moto lakini sio lazima kwenda kushinda kombe. Timu itakayoshiriki kombe la mapinduzi mechi zote hadi finali itarudi kwenye ligi na mashindano mengine ikiwa dhaifu sana.
Kwani unajua malengo ya Simba ni nini?
 
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya mashindano ya Mapinduzi ni muhimu sana kisiasa lakini ratiba yake inaning'inia tu na malengo yake ni hadi uvae miwani kali kuyaona.

Naipongeza Yanga kupeleka kikosi kile kwenye mashindano yale yaliyozaliza majeruhi kwa Okrah, Lomalisa, na Skudu tayari ambayo haijulikani watapona lini ili wacheze ligi na caf champions. Wachezaji wa timu ndogo kwenye mashindano yoyote kama Mapinduzi huwa wanacheza kwa kukamia timu kubwa ili kuonyesha uwezo na kushawishi kusajiliwa na timu kubwa, tabia ambayo inazalisha majeraha mengi sana kwa timu na wachezaji wa timu kubwa. Mfano, mchezaji alimrukia Okrah kutoka kusikojulikana na kumuumiza vibaya bila sababu ya maana.

Ni mashindano mazuri kwa timu kubwa kupeleka wachezaji wasiopata game time kwenye ligi na machindano mengine ya TFF, CECAFA, na CAF na timu ya taifa ili kuwapasha moto lakini sio lazima kwenda kushinda kombe. Timu itakayoshiriki kombe la mapinduzi mechi zote hadi finali itarudi kwenye ligi na mashindano mengine ikiwa dhaifu sana.
Ndugu yangu Kama ujui ni kwanini mwakarobo wamepeleka full mkoko kule mapinduzi Wala ahiitaji uvae miwani ya mbao kujua, ni kwamba Simba msimu huu uku kwenye ligi Awana Chao, Sasa watawaambia Nini wanachama wao Kama awatoambulia ata nafasi ya pili?
Kilichobaki ni kikombe Cha bonanza la mapinduzi ili kusudi wakisimama mbele ya wanachama watapata pa kujifichia kwamba mnaona tumebeba mapinduzi cup!
Pia benchikha ashaona kwa kikosi alichonacho atoweza kupambana na yanga na Azam kwenye ligi ni Bora AWEKE nguvu kwenye ilo bonanza apate sehemu ya kujipozea ndio maana ukimwambia weka vijana wa U20 au wale ambao awapati nafasi kwenye timu anaweza kukupiga ngumu ya uso ataki mchezo na kikombe icho ndicho kilichomtoa Algeria kuja kukibeba🤣🤣🤣
 
Ndugu yangu Kama ujui ni kwanini mwakarobo wamepeleka full mkoko kule mapinduzi Wala ahiitaji uvae miwani ya mbao kujua, ni kwamba Simba msimu huu uku kwenye ligi Awana Chao, Sasa watawaambia Nini wanachama wao Kama awatoambulia ata nafasi ya pili?
Kilichobaki ni kikombe Cha bonanza la mapinduzi ili kusudi wakisimama mbele ya wanachama watapata pa kujifichia kwamba mnaona tumebeba mapinduzi cup!
Pia benchikha ashaona kwa kikosi alichonacho atoweza kupambana na yanga na Azam kwenye ligi ni Bora AWEKE nguvu kwenye ilo bonanza apate sehemu ya kujipozea ndio maana ukimwambia weka vijana wa U20 au wale ambao awapati nafasi kwenye timu anaweza kukupiga ngumu ya uso ataki mchezo na kikombe icho ndicho kilichomtoa Algeria kuja kukibeba🤣🤣🤣
Mtajifariji sana lakn ndo hvyo msha toka ,,mpira hauchezewi mdomoni😁😁
 
Yanga na Azam walilitaka hilo kombe ila wamekutana na wababe wao wakapigwa nje 😁

Waliomkimbia Simba ndio hao wawili, Yanga ya kupigwa 3 na wasabato, Azam ya kupigwa 3 na walima alizeti ndio ndio waweze kupambana na Simba ya benchikka?

benchikha ashaona kwa kikosi alichonacho atoweza kupambana na yanga na Azam
 

Attachments

  • 1704732218203.jpg
    1704732218203.jpg
    326.8 KB · Views: 2
Mnajifanya wasemaji wa Yqnga humu JF.

Watu walikuwana malengo makubwa, wewe unaleta porojo humu. View attachment 2865544
Angesema haya Gamondi ningekusikiliza. Priva ni nani yanga? alitania tu kwakuwa hata yeye alikuwa anajua kuwa yale yalikuwa mashindano kwa wasiokuwa wanapata nafasi kwenye list yake. Sasa hivi anamjua Fred, Farid, Ngushi, Nkane na Mkude vizuri sana kuliko mwanzo, amepata faida na anaweza kuwatumia vizuri au kuacha kuwatumia vizuri. Hata mm nilikuwa sijui kama Fred na Mkude wana vitu mguuni kiasi kile. Na kama Gamondi angemuacha Fred dirisha dogo angekuwa ametenda kosa kubwa sana. Lakini Gamondi sasa anaufahamu uwezo wa vijana akina Nanguka, Chigombo na Mtita.
 
Back
Top Bottom